*MAMA SALMA KIKWETE AWAANDALIA TAFRIJA YA MWAKA MPYA WENZA WA MABALOZI WA NJE WALIOPO TANZANIA
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya mwaka mpya aliyoiandaa Ikulu leo kwa ajili ya wenza wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa Tanzania.Baadhi ya wageni waalikwa wakiongozwa na Mke wa Makamu wa Rais Mama Zakhia Bilal (wa kwanza kushoto) wakisikiliza hotuba ya Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati wa tarfija ya mwaka mpya aliyowaandalia wenza wa mabalozi wa nchi za nje waliopo hapa Tanzania.Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA MWAKA WA TAASISI YA SEGAL FAMILY HUKO NGURDOTO- ARUSHA.
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE YA KUTIMIZA MWAKA VIKUNDI VYA WAMA HUKO NACHINGWEA/AKABIDHI MADAWATI
10 years ago
MichuziUBALOZI WA TANZANIA, OTTAWA - MWENYEJI WA MKUTANO WA UMOJA WA WENZA WA MABALOZI WA AFRIKA, CANADA
Akiuwakilisha Ubalozi wetu, mwenyeji wa mkutano huo ambaye pia ni Mtunza Hazina wa Umoja huo, Mke wa Balozi wa Tanzania, Mama Esther Zoka alitumia fursa ya mkutano huo, kuvinadi vivutio vya utalii vya Tanzania, ambavyo ni pamoja na Ngororo Crater ambayo iko katika orodha ya maajabu makuu ya ulimwengu inayoratibiwa na UNESCO, Mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu...
10 years ago
VijimamboBalozi Seif awaandalia Madaktari wa Kichina tafrija maalum ya kuwaaga
10 years ago
MichuziTimu za bunge zapongezwa katika tafrija ya kuukaribisha mwaka mpya usiku huu mjini dodoma