Balozi Seif awaandalia Madaktari wa Kichina tafrija maalum ya kuwaaga
![](http://1.bp.blogspot.com/-9vEFjT969Vc/VX8lPhFH-VI/AAAAAAABx58/7eBdd-AH44g/s72-c/244.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwakaribisha Madaktari Mabingwa ya Jamuhuri ya Watu wa China waliowasili Zanzibar wiki iliyopita kushika nafasi ya wenzao waliomaliza muda wao wa miaka miwili.
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na Mke wa Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Bibi Xie Yun wakipata mlo katika tafrija walioandaliwa Madaktari mabingwa wa China waliomaliza muda na wale wapya hapo Mazizini nje kidogo ya mji wa Zanzibar.
Balozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-d4y81680bE8/VMAS2Px0D_I/AAAAAAABipY/WPMVzR1ri4g/s72-c/848.jpg)
Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina
![](http://1.bp.blogspot.com/-d4y81680bE8/VMAS2Px0D_I/AAAAAAABipY/WPMVzR1ri4g/s640/848.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-J7ahw61tuhY/VMAS1l5xwaI/AAAAAAABipU/ORhCEQGGW-g/s640/864.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-eoM76b9W7F4/VWhxb7qFJYI/AAAAAAAA-eA/e9UE0Ku9Scg/s72-c/236.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWAANDALIA CHAKULA CHA USIKU WATENDAJI WA TAASISI ZILIZO CHINI YA OFISI YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-eoM76b9W7F4/VWhxb7qFJYI/AAAAAAAA-eA/e9UE0Ku9Scg/s640/236.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W0EiPInunB0/VWhxYcbddkI/AAAAAAAA-do/dLhinDLZLZo/s640/207.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lVYMq1LBwLc/VWhxWx5SUCI/AAAAAAAA-dY/Eg74Z3pEmXo/s640/170.jpg)
10 years ago
Vijimambo*MAMA SALMA KIKWETE AWAANDALIA TAFRIJA YA MWAKA MPYA WENZA WA MABALOZI WA NJE WALIOPO TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EpbKGa0Rp7M/U3vcym1-fQI/AAAAAAAFkCc/x7FTCbyKTFQ/s72-c/unnamed+(29).jpg)
balozi seif atembelea madaktari bingwa kutoka cuba, akutana na mkurugenzi wa maonesho ya biashara wa uturuki
![](http://1.bp.blogspot.com/-EpbKGa0Rp7M/U3vcym1-fQI/AAAAAAAFkCc/x7FTCbyKTFQ/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8EdHLXOpIpE/U3vczXqcenI/AAAAAAAFkC0/Iy62gWw3vDg/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UZO3EukUN0I/VMD37cpHqlI/AAAAAAAAPTI/U6-m5tfp8jI/s72-c/IMG_2679.jpg)
DKT. SHEIN AWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI WA UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UZO3EukUN0I/VMD37cpHqlI/AAAAAAAAPTI/U6-m5tfp8jI/s640/IMG_2679.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EIxBwxab4c4/VMD38V3omHI/AAAAAAAAPTM/gwy73_p6xk8/s640/IMG_2699-1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Naibu wa Waziri wa Afya Zanzibar awaandalia chakula Madaktari kutoka Hispania !
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Madaktari wa kujitolea kutoka Hispatinia mara baada ya Chakula cha usiku alichowaandalia kwa lengo la kuwashukuru kutokana na mchango wao mkubwa wanaoutoa katika sekta ya Afya Zanzibar, hafla hiyo ilifanyika Hoteli ya Ocean View.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
Profesa Jose Pinquet kulia akitambulisha Timu ya Madaktari wanaotoa huduma za Matibabu ya Uti wa Mgongo na Ubongo katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi mmoja kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PPaU0z5gKtU/VO8kWYTlbtI/AAAAAAAHGCo/4RirNfLvfk0/s72-c/449.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi afanya ziara maalum ya kukagua shamba la Mkurunge,Bagamoyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-PPaU0z5gKtU/VO8kWYTlbtI/AAAAAAAHGCo/4RirNfLvfk0/s1600/449.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSIhrJRvYWQ/VO8kVOmLUrI/AAAAAAAHGCc/u6S6-A1RHF8/s1600/426.jpg)
5 years ago
MichuziMadaktari wa Kichina watoa mafunzo ya kinga na tiba ya ugonjwa wa corona Sudan
Maafisa zaidi ya 50 wa afya nchini Sudan wanashiriki katika zoezi hilo ambalo lengo lake kuu ni kuchukua hatua za haraka za kuzuia na kutibu ugonjwa huo hatari.
Mmoja wa madaktari hao kutoka China, Li Changhong, amesema kuwa, timu yake ina mawasiliano ya karibu...