Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EpbKGa0Rp7M/U3vcym1-fQI/AAAAAAAFkCc/x7FTCbyKTFQ/s72-c/unnamed+(29).jpg)
balozi seif atembelea madaktari bingwa kutoka cuba, akutana na mkurugenzi wa maonesho ya biashara wa uturuki
![](http://1.bp.blogspot.com/-EpbKGa0Rp7M/U3vcym1-fQI/AAAAAAAFkCc/x7FTCbyKTFQ/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8EdHLXOpIpE/U3vczXqcenI/AAAAAAAFkC0/Iy62gWw3vDg/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s1600/unnamed+(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dIqvxlyNuHk/VMoMP90tdjI/AAAAAAAHAH0/kk-oZswKVcg/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Balozi Seif Iddi afanya ziara Bandari ya Malindi,Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-dIqvxlyNuHk/VMoMP90tdjI/AAAAAAAHAH0/kk-oZswKVcg/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8LCDOSsdiaQ/VMoMQIUGGvI/AAAAAAAHAH4/gCcD_2b1GyQ/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQUYcE3T7kZBnGmokUMk4SuJ8sEEKqipdBUyFLjAKKstPQiDM7zz-Lhc8mJuz4cHMtQvBwbwOGpOzZhq1yH94v1ddhlKQ1Yd/unnamed5.jpg?width=650)
BALOZI SEIF IDDI AFANYA ZIARA BANDARI YA MALINDI, ZANZIBAR
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seif Ali Iddi akimuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdullah Juma Abdullah kuchukuwa hatua ya kuyapeleka TRA Makontena yote yaliyoshindwa kufuata tataribu ambayo yanaleta msongamano ndani ya Bandari hiyo. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdullah Juma Abdullah akimkaguza Makamu wa Pili… ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zjA9AQdoaYI/VLTrtYfqv-I/AAAAAAAG9BQ/y0KRyJl_nKs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Balozi Seif Iddi atemblea Wagonjwa Hospital ya Mnazi Mmoja,Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Serikal ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nia ya kutaka kujenga Wodi maalum kwa ajili ya kulazwa watoto wadogo wanaopatwa na majanga mbali mbali ya kuunguwa kwa moto.
Balozi seif alisema hayo wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua watoto walioungua moto ambao wamelazwa katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...
Balozi seif alisema hayo wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua watoto walioungua moto ambao wamelazwa katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF IDDI AFUNGUA RASMI SKULI YA SECONDARY YA FARAJA ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qDJ7-LUoUm0/Vg1pd5pENsI/AAAAAAAH8OM/yXNxisFvkys/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA KAMPENI JIMBO LA UZINI, ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Kampeni ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewatahadharisha Wana CCM na Wananchi kuwa na tahadhari na baadhi ya watu walioamua kupita mitaani kununua Vitambulisho vya kupigia kura. Alisema mpango huo umelenga kupunguza asilimia kubwa ya ushindi wa Chama cha Mapinduzi kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwezi Oktoba ambao uko wazi kutokana na utekelezaji makini wa Sera na Ilani yake ya mwaka 2010 – 2015 iliyoleta maendeleo makubwa ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eQzm6X78kL8/VS_WFPVM7xI/AAAAAAAHRkU/r79Zoe0rUVQ/s72-c/008.jpg)
ZANZIBAR INAHITAJI KUENDELEA KUWA SALAMA NA TULIVU-BALOZI SEIF ALI IDDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eQzm6X78kL8/VS_WFPVM7xI/AAAAAAAHRkU/r79Zoe0rUVQ/s1600/008.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--n61JqiFtc0/VS_WEo931mI/AAAAAAAHRkI/tLbTmOuSwNo/s1600/984.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b_AikiDeMEE/Uve44r2owFI/AAAAAAAFL8U/Jox58rhYMqo/s72-c/unnamed+(13).jpg)
balozi seif ali iddi amwaga misaada jimboni kwake kitope, zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_AikiDeMEE/Uve44r2owFI/AAAAAAAFL8U/Jox58rhYMqo/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HKqObdr3Zag/Uve44hF6vII/AAAAAAAFL8Y/irzw7fuAhwM/s1600/unnamed+(14).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania