Balozi Seif Iddi atemblea Wagonjwa Hospital ya Mnazi Mmoja,Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-zjA9AQdoaYI/VLTrtYfqv-I/AAAAAAAG9BQ/y0KRyJl_nKs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Serikal ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nia ya kutaka kujenga Wodi maalum kwa ajili ya kulazwa watoto wadogo wanaopatwa na majanga mbali mbali ya kuunguwa kwa moto.
Balozi seif alisema hayo wakati alipofanya ziara fupi ya kukagua watoto walioungua moto ambao wamelazwa katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa kilele cha maadhimisho ya kutimia miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s72-c/346.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWATEMBELEA NA KUWAPA POLE MAJERUHI TISA WALIOLAZWA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s640/346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nmnQAqLlb0Q/VhUfV6JehaI/AAAAAAABJhA/6rYP1PBzMGQ/s640/349.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Seif Sharif Hamadi amtembelea mtangazaji wa Radio Noor FM Mnazi Mmoja Hospital alipolazwa
Aboubakar Fakih Mtangazaji wa Radio Noor FM 93.3 na nimuajiriwa wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Pichani akiwa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kwa matipabu ambapo amepata Ajali na kukatika mguu mmoja na mwengine kuumia pamoja na mkono ajali iliyosababishwa na hitilafu ya umeme katika Studio Masjid Swahaba Mtoni Zanzibar, aliumia baada ya kujirusha kutoka Juu ya Ghorofa Moja.
Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim. Seif Sharif Hamad akisalimiana na Aboubakar Fakih Mtangazaji wa Radio Noor FM...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2kO5LRSPPjE/VLQIv1oVzEI/AAAAAAABhrI/3FIhWyQu8ks/s72-c/566.jpg)
BALOZI SEIF AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kO5LRSPPjE/VLQIv1oVzEI/AAAAAAABhrI/3FIhWyQu8ks/s640/566.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MOXF4Ok4APY/VLQJPLj4MiI/AAAAAAABhrY/sQggE3g_gPQ/s640/558.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xypWHhNi5qg/U4iv2Rjg0-I/AAAAAAAFmjc/T-Ma3f1U-s0/s72-c/unnamed+(9).jpg)
NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xypWHhNi5qg/U4iv2Rjg0-I/AAAAAAAFmjc/T-Ma3f1U-s0/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RsUNNkLsoXg/U4iv2PVYFgI/AAAAAAAFmjY/DIjUaIFx5uA/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AFUNGUA ICU HOSPITALI YA MNAZI MMOJA,ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s1600/unnamed+(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dIqvxlyNuHk/VMoMP90tdjI/AAAAAAAHAH0/kk-oZswKVcg/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Balozi Seif Iddi afanya ziara Bandari ya Malindi,Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-dIqvxlyNuHk/VMoMP90tdjI/AAAAAAAHAH0/kk-oZswKVcg/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8LCDOSsdiaQ/VMoMQIUGGvI/AAAAAAAHAH4/gCcD_2b1GyQ/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQUYcE3T7kZBnGmokUMk4SuJ8sEEKqipdBUyFLjAKKstPQiDM7zz-Lhc8mJuz4cHMtQvBwbwOGpOzZhq1yH94v1ddhlKQ1Yd/unnamed5.jpg?width=650)
BALOZI SEIF IDDI AFANYA ZIARA BANDARI YA MALINDI, ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...