Madaktari wa Kichina watoa mafunzo ya kinga na tiba ya ugonjwa wa corona Sudan
Timu ya madaktari 35 wa Kichina wanaendelea na kampeni yao ya kutoa mafunzo mjini Khartoum, Sudan, juu ya jinsi ya kuepuka maambukizi ya virusi hatari vya corona na njia za kutibu ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi hivyo.
Maafisa zaidi ya 50 wa afya nchini Sudan wanashiriki katika zoezi hilo ambalo lengo lake kuu ni kuchukua hatua za haraka za kuzuia na kutibu ugonjwa huo hatari.
Mmoja wa madaktari hao kutoka China, Li Changhong, amesema kuwa, timu yake ina mawasiliano ya karibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-d4y81680bE8/VMAS2Px0D_I/AAAAAAABipY/WPMVzR1ri4g/s72-c/848.jpg)
Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina
![](http://1.bp.blogspot.com/-d4y81680bE8/VMAS2Px0D_I/AAAAAAABipY/WPMVzR1ri4g/s640/848.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-J7ahw61tuhY/VMAS1l5xwaI/AAAAAAABipU/ORhCEQGGW-g/s640/864.jpg)
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Madaktari wanasema kwamba ni ugonjwa usioeleweka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s72-c/2AAA-768x345.jpg)
WAGANGA WA TIBA ASILI WAPATA MAFUNZO KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZJFCoxsCpU/XrEfJarwXkI/AAAAAAALpME/Y93qgeg-c9ElYHeFLz9ehQyZnonTU1idgCLcBGAsYHQ/s640/2AAA-768x345.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3AA-1024x461.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya tiba asili na tiba mbadala wa wilaya ya Tunduru Mohamed Nandule akiongea na waganga wa tiba asili na tiba mbadala kutoka kata ya Mbesa wilayani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s72-c/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE WATOA YA MOYONI JANGA LA CORONA, PROF. TIBAIJUKA ATAKA TIBA MBADALA ITUMIKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMO_sw2q9UI/XodLbI0h14I/AAAAAAALl9M/LGnLeYlJwsAC2Tk8Qdk1hJ2SH5vmD3rvACLcBGAsYHQ/s400/proftibaijuka.jpg)
WABUNGE wameendelea kutoa maoni na ushauri kwa Serikali kuhusu hatua inaweza kuzichukua kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19(Corona) huku Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibajuka akitaka tiba mbadala nayo itumike kwenye kukabiliana na ugonjwa huo.
Wakizungumza Bungeni Mjini Dodoma kwa nyakati tofauti leo Aprili 3 mwaka 2020, wabunge ambao wamepata nafasi ya kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu, wametumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kuhusu janga la...
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA WAPEWA MAFUNZO NAMNA YA KUHUDUMIA WASHUKIWA NA WAGONJWA WA CORONA
Jumla ya watoa huduma za afya 56 kutoka kwenye vituo vya afya vya umma na watu binafsi wilaya ya Shinyanga na Kishapu wamepatiwa mafunzo ya namna ya kutoa matibabu kwa washukiwa na wagonjwa watakaobainika kuwa na Maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID 19).
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa ufadhili wa Shirika la Lifewater International yamefanyika leo Jumatatu Mei 4,2020 katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga.
Afisa Afya Mkoa wa Shinyanga Neema...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-9vEFjT969Vc/VX8lPhFH-VI/AAAAAAABx58/7eBdd-AH44g/s72-c/244.jpg)
Balozi Seif awaandalia Madaktari wa Kichina tafrija maalum ya kuwaaga
![](http://1.bp.blogspot.com/-9vEFjT969Vc/VX8lPhFH-VI/AAAAAAABx58/7eBdd-AH44g/s640/244.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3MwN9FOYcbY/VX8lPkNhz6I/AAAAAAABx6E/QPOWYxh0glg/s640/258.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1UVe1_cp2J4/VX8lPof4akI/AAAAAAABx6A/Q3N7W8UQnz4/s640/262.jpg)
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
11 years ago
KwanzaJamii24 Jul
Tiba na kinga ya UKIMWI zinakuja