Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Madaktari wanasema kwamba ni ugonjwa usioeleweka

Madaktari wanasema virusi hivyo vinabadilika na kusababisha madhara tofauti kila siku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Nimekamatwa kwa kudanganya kwamba nina corona kwenye Facebook

Baadhi ya watu wanakamatwa kwa kutuma ujumbe wa uongo kuhusu corona kwenye mitandao ya kijamii.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wauguzi wanasema ilivyo vigumu kutoa huduma

Wauguzi wanaeleza changamoto wanazozipata wakiwa mstari wa mbele kupambana corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi wanasema teknolojia ya mawasiliano ya 5G haina uhusiano na virusi vya corona

Madai yaliyoenea kuwa 5G inauhusiano na virusi vya corona yanasisitizwa na wanasayansi kuwa si ya kweli, kama anavyokuelezea Mwandishi wa BBC Sammy Awami...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kuna tahadhari kwamba maelfu ya watu huenda wakapata matatizo ya mapafu

Maelfu ya watu watahitajika kurejea hospitali baada ya janga la ugonjwa wa Covid-19 kuangaliwa ikiwa mapafu yao yameathirika

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani

Daktari mkuu wa magonjwa ya kuambukizwa nchini Marekani Dkt Anthony Fauci anasema Marekani ina tatizo kubwa sasa la maambukizi ya virusi vya corona, baadhi ya majimbo yamesitisha mpango wa kufungua

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?

Kuanza kufurika kwa watu hospitalini huenda kunaashiria kwamba corona ilianza mapema mno, utafiti unaonesha

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu

Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madaktari wataja mchanganyiko wa dawa unaoweza kutibu Covid-19

Dkt John Wright kutoka Bradford Royal Infirmary (BRI) anaelezea baadhi ya majaribio yanayoendelea kwa ajili ya kupata tiba ya Covid-19, na mchanganyiko wa aina tatu za dawa ambazo zinaweza kuwa ufunguo wa tiba ya corona.

 

5 years ago

Michuzi

Letshego yasaidia vita dhidi ya ugonjwa wa virusi vya corona

Taasisi ya Letshego (Faidika) imekabidhi msaada wa sh milioni 33 kwa serikali kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.

Mbali ya taasisi hiyo, pia taasisi nyingine tisa nazo zilikabidhi msaada wao kwa serikali na kufanya jumla ya Sh Bilioni 3.2 kupatikana kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Letshego ilikabidhi msaada huo kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ambaye alipokea kwa niaba ya waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Katika makabidhiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani