Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Wauguzi wanasema ilivyo vigumu kutoa huduma

Wauguzi wanaeleza changamoto wanazozipata wakiwa mstari wa mbele kupambana corona

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?

Je unapaswa kuwa unalinganisha takwimu za Covid-19 kati ya nchi mbali mbali?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jifahamishe kwa nini ni vigumu kutibu magonjwa ya virusi ikilinganishwa na yale ya bakteria

Tunapokutwa na kikohozi , pua inayotoka makamasi, joto mwilini, na maumivu ya misuli, hutembelea katika kituo cha afya ili kupata tiba ya haraka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madaktari wanasema kwamba ni ugonjwa usioeleweka

Madaktari wanasema virusi hivyo vinabadilika na kusababisha madhara tofauti kila siku.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi wanasema teknolojia ya mawasiliano ya 5G haina uhusiano na virusi vya corona

Madai yaliyoenea kuwa 5G inauhusiano na virusi vya corona yanasisitizwa na wanasayansi kuwa si ya kweli, kama anavyokuelezea Mwandishi wa BBC Sammy Awami...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus:Wauguzi wa wagonjwa waliombukizwa virusi vya corona Kenya waanza mgomo baridi

Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukuosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?

Watengenezaji magari nchini China wanaangazia wasiwasi wa kiafya kupitia uzinduzi wa magari ambayo yana huduma za kukabiliana na virusi vya virusi.

 

5 years ago

Michuzi

UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA

Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Makala Mapesah akizungumzia msaada wa ndoo maalum za kusaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Makala Mapesah akionyesha ndoo maalum za msaada kwa ajili ya wananchi kujitakasa na kujikinga na virusi vya Corona
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani