Letshego yasaidia vita dhidi ya ugonjwa wa virusi vya corona
Taasisi ya Letshego (Faidika) imekabidhi msaada wa sh milioni 33 kwa serikali kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa corona.
Mbali ya taasisi hiyo, pia taasisi nyingine tisa nazo zilikabidhi msaada wao kwa serikali na kufanya jumla ya Sh Bilioni 3.2 kupatikana kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Letshego ilikabidhi msaada huo kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ambaye alipokea kwa niaba ya waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Katika makabidhiano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 May
Virusi vya Corona: China yaionya Marekani dhidi ya kusababisha vita baridi
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi mlipuko wa corona unavyochochea chuki dhidi ya Waislamu India
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona