Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif awaandalia Madaktari wa Kichina tafrija maalum ya kuwaaga

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwakaribisha Madaktari Mabingwa ya Jamuhuri ya Watu wa China waliowasili Zanzibar wiki iliyopita kushika nafasi ya wenzao waliomaliza muda wao wa miaka miwili.Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi na Mke wa Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Bibi Xie Yun wakipata mlo katika tafrija walioandaliwa Madaktari mabingwa wa China waliomaliza muda na wale wapya hapo Mazizini nje kidogo ya mji wa Zanzibar.Balozi...

 

5 years ago

Michuzi

Madaktari wa Kichina watoa mafunzo ya kinga na tiba ya ugonjwa wa corona Sudan

 Timu ya madaktari 35 wa Kichina wanaendelea na kampeni yao ya kutoa mafunzo mjini Khartoum, Sudan, juu ya jinsi ya kuepuka maambukizi ya virusi hatari vya corona na njia za kutibu ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi hivyo.

Maafisa zaidi ya 50 wa afya nchini Sudan wanashiriki katika zoezi hilo ambalo lengo lake kuu ni kuchukua hatua za haraka za kuzuia na kutibu ugonjwa huo hatari.

Mmoja wa madaktari hao kutoka China, Li Changhong, amesema kuwa, timu yake ina mawasiliano ya karibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wawekezaji wa Kichina Tanzania

Wawekezaji wa Kichina nchini Tanzania wamelalamikiwa kufanya biashara za reja reja hali ambayo inadaiwa kuwanyima fursa wenyeji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wa Kichina kulinda viwango

CHAMA cha Wafanyabiashara kutoka China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC) kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zisambazazwo na wanachama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Agutuka na kuanza kuongea kichina

Mgonjwa mahututi agutuka kutoka katika hali yake mahututi na kuanza kuongea kichina

 

10 years ago

GPL

SKRINI TACHI, BETRI YA KICHINA!-8

ILIPOISHIA UWAZI:
“Anapiga simu nikipokea anakata, nashindwa kumwelewa. Nimemuuliza kuna tatizo gani baby, hajanijibu!” “Please, futa meseji zangu zote shemeji, nimeanza kuhisi nini tatizo, futa meseji nitakwambia kitu baadaye shemeji.”
“Mh!” aliguna Tekla huku mapigo ya moyo yakianza kumwenda kwa kasi.
ANZA NAYO… Tekla alianza kuwaza kuhusu alichoambiwa na Kakombe kwenye meseji....

 

10 years ago

GPL

MAIMARTHA ANANGWA MAKALIO YA KICHINA

Na Gladness Mallya
KUTOKANA na kubadilika kimuonekano na kila kukicha makalio kuzidi kuwa makubwa, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse amenangwa kwamba anatumia dawa za Kichina kuyaongeza ukubwa. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Tofauti na alivyokuwa zamani, Maimartha kwa sasa anaonekana kuwa na makalio makubwa hali ambayo imewashtua baadhi ya wadau wake wa karibu na kusema kwamba mwanadada huyo anatumia dawa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari wa ‘kichina’ anaswa Babati

WATU saba wametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi mkoani Manyara, akiwemo daktari bandia na wengine katika mtandao wa wizi wa magari uliyotokea jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti. Kamanda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Duka lawakataa wateja wa kichina

Duka moja la nguo nchini Uchina limezua mjadala baada ya kuweka maelezo yanayopiwapiga marufuku wateja wa kichina

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani