Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara wa Kichina kulinda viwango

CHAMA cha Wafanyabiashara kutoka China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC) kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zisambazazwo na wanachama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wachina waahidi kulinda viwango

Chama cha Wafanyabiashara kutoka nchini China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC), kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zinazosambazwa na wanachama wake.

 

11 years ago

Habarileo

Wachina waahidi kulinda viwango vya bidhaa

CHAMA cha Wafanyabiashara wa Kariakoo kutoka China (KCCC) kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa, zinazosambazwa na wanachama wake.

 

10 years ago

StarTV

Wafanyabiashara Mutukula walalamikia viwango vya ushuru

Na Mariam Emily,

Bukoba.

Wafanyabiashara na wajasiriamali wadogo mkoani Kagera wameiomba Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuweka kiwango cha ushuru kinachoeleweka ili kuwaondolea adha wanayoipata katika mpaka wa Mutukula pindi wanapotoa bidhaa zao nchi jirani ya Uganda.

Malalamiko hayo yametolewa na wafanyabiashara hao katika kikao cha pamoja baina yao na maafisa waandamizi kutoka Wizara ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kilichofanyika mjini Bukoba.

Kikao cha pamoja baina ya wadau wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TBS yawataka wafanyabiashara kuudhuria siku ya viwango

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wajasiriamali na wafanyabiashara waliothibitisha ubora wa bidhaa zao kufika katika maadhimisho ya siku ya viwango yatakayofanyika jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Karimjee...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Mbeya watakiwa kulinda amani

WAFANYABIASHARA mkoani Mbeya wametakiwa kutambua kwamba jukumu la kudumisha na kulinda amani linawahusu badala ya kuamini kwamba kulipa kodi ndiyo shughuli pekee ya kuisaidia nchi. Hayo yalibainshwa hivi karibuni na...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa kichina waenda Mapumziko kusherehekea mwaka mpya wa kichina

Kiongozi wa Madaktari wa Kichina Dr. Liu Yaping akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi zawadi ya pambo la Ofisi wakati alipofika Ofisini kwa Balozi Vuga Mjini Zanzibar na Timu yake ya Madaktari kuaga wakirejea nyumbani kwa mapumziko ya mwezi mmoja kiusherehekea mwaka mpya wa Kichina.Pembeni kushoto ni mtapta wao Bibi Liu HualianDr. Liu Yaping kiongozi wa Madaktari wa Kichina wanaotoa huduma za Afya Hospitali za Zanzibar kati kati akiwa sambamba na Mtapta wao Bibi...

 

5 years ago

Michuzi

TBS YAWASHAURI WANANCHI, WAFANYABIASHARA KUTOA TAARIFA ZITAKAZOSAIDA KUBAINI WALISHAJI NYAYA ZA UMEME ZISIZOKUWA NA VIWANGO, UBORA

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS)limewashauri wananchi na wafanyabiashara wote nchini kutoa taarifa zitakazosaidia kuwabaini wazalishaji wa bidhaa za umeme hususani nyaya, zisizo na viwango ili waweze kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa upimaji na ugezi wa Bidhaa kutoka TBS Johanes Maganga alipokuwa akizungumza jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka kwa malalamiko ya baadhi ya wafanyabiashara kuhusu uwepo wa baadhi ya...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani