Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachina waahidi kulinda viwango

Chama cha Wafanyabiashara kutoka nchini China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC), kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zinazosambazwa na wanachama wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wachina waahidi kulinda viwango vya bidhaa

CHAMA cha Wafanyabiashara wa Kariakoo kutoka China (KCCC) kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa, zinazosambazwa na wanachama wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wa Kichina kulinda viwango

CHAMA cha Wafanyabiashara kutoka China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC) kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zisambazazwo na wanachama...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachimbaji Nzega waahidi neema

SERIKALI imewaahidi wachimbaji wadogo wa Kitongoji cha Mwanchina, wilayani Nzega, Tabora kuwatafutia eneo la kuchimba pamoja na kuwaagiza waunde vikundi vitakavyoweza kupatiwa leseni. Akizungumza na wachimbaji wadogo juzi, Naibu Waziri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngorongoro Heroes waahidi ushindi

NAHODHA wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’, Aishi Manula, amesema wamejipanga kwa ajili ya kupata ushindi kwenye mechi dhidi ya Kenya itakayochezwa mji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chikawe, Dk Kamani waahidi mazito

 Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe na Waziri Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani wameingia kwenye ofisi zao mpya huku wakiwa na ujumbe mzito.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi mambo makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani