Wachimbaji Nzega waahidi neema
SERIKALI imewaahidi wachimbaji wadogo wa Kitongoji cha Mwanchina, wilayani Nzega, Tabora kuwatafutia eneo la kuchimba pamoja na kuwaagiza waunde vikundi vitakavyoweza kupatiwa leseni. Akizungumza na wachimbaji wadogo juzi, Naibu Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Jan
Serikali kuwapatia eneo wachimbaji wadogo Nzega
SERIKALI imeahidi wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo wa dhahabu Mwanshina wilayani Nzega, mkoani Tabora kuwapatia leseni ya uchimbaji, ikiwemo kuwapatia eneo maalumu la kuchimba.
11 years ago
Michuzi20 Jun
STAMICO YAAHIDI NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/227.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/318.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/416.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Magufuli-akihutubia-nyomi-la-watu-lililofurika-katika-Kijiji-cha-Nkome-Geita-Vijijini.jpg)
MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WAVUVI, WACHIMBAJI WADOGOWADOGO MWANZA NA GEITA
Dk John Magufuli akihutubia nyomi la watu lililofurika katika Kijiji cha Nkome, Geita Vijijini. Magufuli akizuru makaburi ya babu yake Marko Nyahenga na bibi yake Anastazia yaliyopo kijiji cha Katoma, Geita Vijijini.
Ibada fupi ya maombi ikifanyika kuwaombea marehemu…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s72-c/download%2B(5).jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s1600/download%2B(5).jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mawaziri waahidi makubwa
Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.
11 years ago
Daily News06 May
Hunger seen stalking Nzega
Daily News
RESIDENTS of Nzega in Tabora Region have been urged to preserve the little food they have harvested and avoid using it in making local brews and other useless activities. The call has been advanced by Nzega District Council Chairman, Patrick Mbozu, ...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachina waahidi kulinda viwango
Chama cha Wafanyabiashara kutoka nchini China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC), kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zinazosambazwa na wanachama wake.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Chikawe, Dk Kamani waahidi mazito
 Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe na Waziri Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani wameingia kwenye ofisi zao mpya huku wakiwa na ujumbe mzito.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mawaziri waahidi mambo makubwa
Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania