Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimbaji Nzega waahidi neema

SERIKALI imewaahidi wachimbaji wadogo wa Kitongoji cha Mwanchina, wilayani Nzega, Tabora kuwatafutia eneo la kuchimba pamoja na kuwaagiza waunde vikundi vitakavyoweza kupatiwa leseni. Akizungumza na wachimbaji wadogo juzi, Naibu Waziri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali kuwapatia eneo wachimbaji wadogo Nzega

SERIKALI imeahidi wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo wa dhahabu Mwanshina wilayani Nzega, mkoani Tabora kuwapatia leseni ya uchimbaji, ikiwemo kuwapatia eneo maalumu la kuchimba.

 

11 years ago

Michuzi

STAMICO YAAHIDI NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI

2Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO wakiwahudumia wageni waliotembelea katika banda lao kwenye maonyesho ya wiki ya Utumishi yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar  3Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa wakiangali moja ya majarida ya nayoelezea shughuli za shirika hilo kutoka kulshoto ni Bibiana Ndumbaro, Denis Silas na Charles Mawala. 4 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Shirika la Madini la Taifa STAMICO Bw. Leornald Mwakalebela akiwapatia majarida...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WAVUVI, WACHIMBAJI WADOGOWADOGO MWANZA NA GEITA

Dk John Magufuli akihutubia nyomi la watu lililofurika katika Kijiji cha Nkome, Geita Vijijini. Magufuli akizuru makaburi ya babu yake  Marko Nyahenga na bibi yake Anastazia yaliyopo kijiji cha Katoma, Geita Vijijini.
Ibada fupi ya maombi ikifanyika kuwaombea marehemu…

 

10 years ago

Michuzi

Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Awali ya yote nianze kwa kumshukuru mwenyezi mungu, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu, kwa kutujalia afya njema na kutukutanisha hapa siku hii adhimu ya leo, maana ni kwa utashi wake tu tunaweza kuyafanya haya yote.


Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.


Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

11 years ago

Daily News

Hunger seen stalking Nzega


Hunger seen stalking Nzega
Daily News
RESIDENTS of Nzega in Tabora Region have been urged to preserve the little food they have harvested and avoid using it in making local brews and other useless activities. The call has been advanced by Nzega District Council Chairman, Patrick Mbozu, ...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachina waahidi kulinda viwango

Chama cha Wafanyabiashara kutoka nchini China wanaofanya shughuli zao chini ya mwamvuli wa Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC), kimetoa ahadi ya kulinda viwango vya ubora wa bidhaa zinazosambazwa na wanachama wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Chikawe, Dk Kamani waahidi mazito

 Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe na Waziri Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani wameingia kwenye ofisi zao mpya huku wakiwa na ujumbe mzito.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi mambo makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani