Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri waahidi mambo makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

9 years ago

Michuzi

Nkone, Lissu, Mwangila waahidi makubwa Tamasha la Amani Dar

 

Mwenyekiti wa maandalizi ya Tamasha la Kuombea Amani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Alex Msama akifafanua jambo kuhusu maandalizi ya tamasha hilo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mwimbaji wa nyimbo za injili, Christopher Mwahangila na Upendo Nkone. (Picha na Francis Dande)
 Mwimbaji wa nyimbo za injili, John Lissu akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya Tamasha la kuombea Amani Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25,...

 

11 years ago

Michuzi

GLOBAL BREAKING, TAMASHA LA JOGGING WAAHIDI MAKUBWA DAR LIVE J’PILI HII

Kutoka kushoto ni mratibu mwenza wa Tamasha la Jogging, Mashauri, Mratibu wa Jogging, KP, Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, Mratibu wa Matukio wa Global, Luqman Maloto na Meneja wa Stamina, Said Ramadhani 'Kabwela'. Abdallah Mrisho akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi wa habari (hawapo pichani) Mkutano ukiendelea. Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo. Mwanamuziki wa Bendi ya Msoondo Ngoma, Said Mabela akizungumzia maandalizi yao katika bonanza hilo.

Mambo...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL BREAKING, TAMASHA LA JOGGING WAAHIDI MAKUBWA DAR LIVE J’PILI HII

Kutoka kushoto ni mratibu mwenza wa Tamasha la Jogging, Mashauri, Mratibu wa Jogging, KP, Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, Mratibu wa Matukio wa Global, Luqman Maloto na Meneja wa Stamina, Said Ramadhani 'Kabwela'. Abdallah Mrisho akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi wa habari (hawapo pichani)…

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –Mazingira Mh. Dk. Eng. Binilith Satano Mahenge, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Julius Nyerere Tarehe 29 Agosti 2014.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

JK: January anataka mambo makubwa

Rais Jakaya Kikwete amezungumzia nia ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba kutaka kuwania urais mwakani, akisema mwanasiasa huyo kijana “anataka mambo makubwa, lakini hajamshirikisha”.

 

9 years ago

Bongo5

Kayumba anakuja na mambo makubwa – Madam Rita

Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba akiomba dua baada ya kutangazwa mshindi

Madam Rita amedai kuwa mshindi wa BSS 2015, Kayumba Juma anakuja na mambo makubwa.

Madam Rita na Kayumba

Rita ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.

“Kayumba anakuja na mambo makubwa,” amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda.”

Rita na Kayumba walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

Habarileo

RC akiri Watanzania wakijituma hufanya mambo makubwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky SadikiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki, amesema, Watanzania wakijituma, wakiwa waadilifu na waaminifu watafanya mambo makubwa yenye manufaa kwa maisha yao na nchi yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani