RC akiri Watanzania wakijituma hufanya mambo makubwa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki, amesema, Watanzania wakijituma, wakiwa waadilifu na waaminifu watafanya mambo makubwa yenye manufaa kwa maisha yao na nchi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Sep
Nay wa Mitego hufanya mambo haya matatu kabla hajapanda stejini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8B82i9aamuo/XuJUusmqJEI/AAAAAAACNAo/TYBNzyqLu0AcFhKjDoSFLieXq5CgzkzqwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8B82i9aamuo/XuJUusmqJEI/AAAAAAACNAo/TYBNzyqLu0AcFhKjDoSFLieXq5CgzkzqwCLcBGAsYHQ/s200/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.
Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mawaziri waahidi mambo makubwa
11 years ago
Mwananchi10 Jul
JK: January anataka mambo makubwa
9 years ago
Bongo531 Dec
Kayumba anakuja na mambo makubwa – Madam Rita
![Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba akiomba dua baada ya kutangazwa mshindi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mshindi-wa-Bongo-Star-Search-2015-Kayumba-akiomba-dua-baada-ya-kutangazwa-mshindi-300x194.jpg)
Madam Rita amedai kuwa mshindi wa BSS 2015, Kayumba Juma anakuja na mambo makubwa.
Rita ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.
“Kayumba anakuja na mambo makubwa,” amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda.”
Rita na Kayumba walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.
Jiunge na Bongo5.com...
10 years ago
Bongo505 Dec
Tunda Man: Ukata unatusababisha tusifanye mambo makubwa
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mh. Ridhiwani Kikwete afanya mambo makubwa jimbo la Chalinze
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwani wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-esPD69xCSkY/U7WbDbjbwpI/AAAAAAAFuuY/JixsCtjOCrU/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Musley Al Rawahi apania kufanya mambo makubwa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-esPD69xCSkY/U7WbDbjbwpI/AAAAAAAFuuY/JixsCtjOCrU/s1600/unnamed+(31).jpg)