Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.

Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SHUKATSU- SHEREHE ZA KUJIANDAA KABLA YA KIFO NCHINI JAPAN

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.

Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila...

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMWOMBEA MAREHEMU SABINA ITAMBIKO TOKYO NCHINI JAPAN

Mmoja ya ndugu ya marehemu akitoa neno la shukurani kwa niaba ya wanafamilia kwenye ibada ya kimwombea marehemu Sabina Itambiko aliyekua akiishi nchini Japan na kupata mauti nchini Tanzania July 17, 2015. Watanzania nchini Japan wakijumuika pamoja katika ibada ya kumwombea marehemu Sabina Itambiko aliyekua akiishi nchini Japan na kupata mauti nchini Tanzania July 17, 2015.Picha zote na Mariam, mwakilishi wa Vijimabo Japan Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

5 years ago

BBCSwahili

Mamilioni ya tani za mabaki ya chakula hutupwa kila mwaka duniani

Kuna watu takribani milioni 820 duniani hawana chakula cha kutosha

 

10 years ago

Habarileo

RC akiri Watanzania wakijituma hufanya mambo makubwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky SadikiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki, amesema, Watanzania wakijituma, wakiwa waadilifu na waaminifu watafanya mambo makubwa yenye manufaa kwa maisha yao na nchi yao.

 

10 years ago

GPL

KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA

Mgonjwa wa kifua kikuu akipatiwa matibabu. KWA Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania. Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA TOKYO JAPAN WASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID

 Watanzania na marafiki zao wakijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid iliyofanyika siku ya Jumamosi July 18, 2015 Watanzania na marafiki zao wakijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid. Picha na Mariam, Mwakilishi wa Vijimambo Japan. Mariam kulia akipata ukodak moment na mwenzie.Watanzania wa Japan wakijumuika pamoja kwenye sherehe ya Eid MosiKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

5 years ago

The Guardian

'Massively let down': disappointment in Japan after Tokyo Olympics postponed

'Massively let down': disappointment in Japan after Tokyo Olympics postponed  The GuardianTokyo 2020: 'The right decision, made just in time'  BBC NewsThe Tokyo 2020 Olympics have been postponed to 2021  CNNAbe, Trump to hold phone meeting on Japan’s Olympics – report  RTTokyo Games moved to 2021 as 'light at end of pandemic tunnel'  ReutersView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego hufanya mambo haya matatu kabla hajapanda stejini

Kutokana na baadhi ya video anazofanya na matendo yake, watu wengi wanaamini kuwa Nay wa Mitego ni mfuasi wa jamii ya freemason ambayo watanzania wa kawaida wanaamini kuwa ina uhusiano wa karibu na shetani. Hata hivyo wale wenye imani hiyo wanaweza kuwa ‘wrong’. Rapper huyo controversial amesema kabla ya kupanda stejini katika kila show anazofanya […]

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE TOKYO JAPAN

Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya vyakula vya Kitanzania vilivyosindikwa kitalaamu, Afisa Mtendaji Mkuu na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Sumitomo ya Japan,Bw.Michihiko Kanegae baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya New Otani, Tokyo, Machi 16, 2015. Kampuni hiyo inatarajiwa kuanza ujenzi wa mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi katika eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam hivi karibuni. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Masuala ya Miundombinu ya Umeme wa kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani