SHUKATSU- SHEREHE ZA KUJIANDAA KABLA YA KIFO NCHINI JAPAN
![](https://1.bp.blogspot.com/-g8BzIBXSwvQ/XuJFTMOGY5I/AAAAAAALtcM/YAeoAITqOKQD7c8-_nTRt2JrlnBfyXlWwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.
Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8B82i9aamuo/XuJUusmqJEI/AAAAAAACNAo/TYBNzyqLu0AcFhKjDoSFLieXq5CgzkzqwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8B82i9aamuo/XuJUusmqJEI/AAAAAAACNAo/TYBNzyqLu0AcFhKjDoSFLieXq5CgzkzqwCLcBGAsYHQ/s200/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.
Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Penzi Kabla Ya Kifo-13
Mwanamke bilionea mwenye kiu ya kupata mtoto, Elizabeth Marcel anajikuta akitukanwa na mume wa mtu kisa tu alikuwa akimpenda na kumtaka kimapenzi. Hilo, linamuumiza mno na kuamua kuachana naye kisha kusonga na maisha yake pasipo kujua Mungu amemuandalia kitu gani mbele yake.
SONGA NAYO…
Baada ya miezi miwili kupita, hatimaye maumivu yakawa yamepungua, hakumkumbuka tena Edson, aliamua kuachana naye na kufanya ishu zake nyingine. Safari hazikuisha, hakuwa mtu wa kutulia, leo alikuwa akienda...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Penzi Kabla Ya Kifo-12
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Elizabeth alibaki akiwa amesimama kama nguzo ya umeme, hakuamini kile kilichotokea, moyo wake ulikuwa kwenye maumivu makali mno, hakutingishika, alibaki vilevile na ghafla machozi yakaanza kumbubujika mashavuni mwake.
ENDELEA NAYO…
Usiku, hakulala, alikesha huku mawazo yake yakiwa kwa Edson tu. Kila wakati aliishika simu ile na kuiangalia namba ya Edson, alitamani kumpigia na kuzungumza naye, japokuwa alikuwa ametukanwa lakini hilo wala halikuwa tatizo, vitisho...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Ajitengenezea msalaba, kaburi kabla ya kifo
MCHORAJI maarufu katika Mji wa Namanyere wilayani Nkasi, Gilbert Paul (38), ambaye alishaanza kujiandalia maziko kwa zaidi ya miaka 15 sasa akiwa hai buheri wa afya, anatarajia kuanza kujichimbia kaburi miezi mitatu ijayo, ili liwe tayari kuhifadhi mwili wake mara mauti yatakapomfika.
11 years ago
Habarileo10 Dec
Aliyemuona Mandela dakika 90 kabla ya kifo asimulia
DAKIKA za mwisho za maisha yake, Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, hakuwa akitumia mashine ya kumsaidia kupumua.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E-eiwesnIS0OoICWmLkGGl*tXvoD7EZx0TAgvLJlhYHvQfQhJXc3o2RI6jmo7mB9vAu0KfrmejoCSR-zukt23qxSaifWn88y/ak3.jpg)
MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Savimbi: Kabla ya kuuawa alinusurika kifo mara 15
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kauli ya mwisho ya Ballali kabla ya kifo chake