Penzi Kabla Ya Kifo-12
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Elizabeth alibaki akiwa amesimama kama nguzo ya umeme, hakuamini kile kilichotokea, moyo wake ulikuwa kwenye maumivu makali mno, hakutingishika, alibaki vilevile na ghafla machozi yakaanza kumbubujika mashavuni mwake.
ENDELEA NAYO…
Usiku, hakulala, alikesha huku mawazo yake yakiwa kwa Edson tu. Kila wakati aliishika simu ile na kuiangalia namba ya Edson, alitamani kumpigia na kuzungumza naye, japokuwa alikuwa ametukanwa lakini hilo wala halikuwa tatizo, vitisho...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Penzi Kabla Ya Kifo-13
Mwanamke bilionea mwenye kiu ya kupata mtoto, Elizabeth Marcel anajikuta akitukanwa na mume wa mtu kisa tu alikuwa akimpenda na kumtaka kimapenzi. Hilo, linamuumiza mno na kuamua kuachana naye kisha kusonga na maisha yake pasipo kujua Mungu amemuandalia kitu gani mbele yake.
SONGA NAYO…
Baada ya miezi miwili kupita, hatimaye maumivu yakawa yamepungua, hakumkumbuka tena Edson, aliamua kuachana naye na kufanya ishu zake nyingine. Safari hazikuisha, hakuwa mtu wa kutulia, leo alikuwa akienda...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mama wa watoto 4 aliyetafuta penzi juu chini kabla ya kuvunjwa moyo
10 years ago
Habarileo02 Aug
Ajitengenezea msalaba, kaburi kabla ya kifo
MCHORAJI maarufu katika Mji wa Namanyere wilayani Nkasi, Gilbert Paul (38), ambaye alishaanza kujiandalia maziko kwa zaidi ya miaka 15 sasa akiwa hai buheri wa afya, anatarajia kuanza kujichimbia kaburi miezi mitatu ijayo, ili liwe tayari kuhifadhi mwili wake mara mauti yatakapomfika.
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kauli ya mwisho ya Ballali kabla ya kifo chake
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Savimbi: Kabla ya kuuawa alinusurika kifo mara 15
11 years ago
Habarileo10 Dec
Aliyemuona Mandela dakika 90 kabla ya kifo asimulia
DAKIKA za mwisho za maisha yake, Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, hakuwa akitumia mashine ya kumsaidia kupumua.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E-eiwesnIS0OoICWmLkGGl*tXvoD7EZx0TAgvLJlhYHvQfQhJXc3o2RI6jmo7mB9vAu0KfrmejoCSR-zukt23qxSaifWn88y/ak3.jpg)
MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g8BzIBXSwvQ/XuJFTMOGY5I/AAAAAAALtcM/YAeoAITqOKQD7c8-_nTRt2JrlnBfyXlWwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
SHUKATSU- SHEREHE ZA KUJIANDAA KABLA YA KIFO NCHINI JAPAN
![](https://1.bp.blogspot.com/-g8BzIBXSwvQ/XuJFTMOGY5I/AAAAAAALtcM/YAeoAITqOKQD7c8-_nTRt2JrlnBfyXlWwCLcBGAsYHQ/s400/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.
Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila...
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
George Floyd: Je ni kipi kilichotokea dakika 30 za mwisho kabla ya kifo chake?