MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE
![](http://api.ning.com:80/files/E-eiwesnIS0OoICWmLkGGl*tXvoD7EZx0TAgvLJlhYHvQfQhJXc3o2RI6jmo7mB9vAu0KfrmejoCSR-zukt23qxSaifWn88y/ak3.jpg)
Mwili wa AK47 ukitolewa katika mochwari ya Hospitali ya Nsambya. WAKATI wapenzi wa muziki nchini Uganda wakiwa bado wamegubikwa na simanzi kwa kuondokewa na mwanamuziki wa miondoko ya dancehall, Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47, taarifa mpya zimeibuka kuwa kuna uwezekano kuwa alipigwa kabla ya kifo chake. Jose Chameleon (katikati) akiwa na simanzi baada ya kuondokewa na mdogo wake. AK47 amefariki… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kauli ya mwisho ya Ballali kabla ya kifo chake
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
George Floyd: Je ni kipi kilichotokea dakika 30 za mwisho kabla ya kifo chake?
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Kifo Cha Msanii AK47 Taarifa Mpya Za Kushtusha Zatolewa
![](http://api.ning.com/files/nBD8FQWarq9jNraPBtL8Hy5Sxmz4CXRR0Yj5Wr3xeIeQZ5y6aq*PA1DgERk-6nj-2rTmnUnfFrkUbqJiu-F6JiDvIubvijMu/ak47.jpg)
Ujumbe ulikuwa ukitaka Maggie amuonye mume wake AK47 aache kumfuatilia girlfriend wake anayeishi nchini Uganda anayejulikana kama Vivian Bahati.Taarifa za Redpepper Uganda, Polisi wanaendelea kuchunguza taarifa hizo mpya, kuna Mganda ambae anaishi nchi za Scandinavia ambae anadhaniwa alikodi kikundi cha watu ambao walisababisha kifo cha AK47 kutokana na mwanamke huyo.Polis walimpigia Maggie mke wa marehemu AK47 afike katika kituo cha Polisi cha Kabalagala kwa ajili ya kupata upande...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
AY ATUMA SALAM ZA POLE KWA JOSE CHAMELEONE KWA KIFO CHA AK47
![](https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/ay1.jpg)
Marehemu Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni.
Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake.
Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa bafuni wakati akiongea na simu na kukimbizwa katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadQdexSwLFUUXFYyLSXWomVVbey6JxdKS9zTjkJ4M-Ufmm5lt2aJs5jNzhaiGWxfgPfQKEhLNT3HneViz9EjF7M/devotha.jpg)
DEVOTHA ATOA WOSIA WA KIFO CHAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBCn4J0XKRc4-H68RhFsvVRQHheG6pdeISf1verDUzqmbmz13AHM-ykLZ1EYxvBkkSttQguIEjbZPhZMmrnfQFSw/ezekiely.jpg)
KIFO CHAKE CHATIBUA BETHDEI YA AUNT
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oPzyhQ6g0I9Ekhb*m6meaOOGa1mcPsgWNDf2Mzygs-ku6-q067RKIhkjqZpXqFsCkM52O0EJfAt1GjU9d576iI/aunt.jpg?width=650)
AUNT AMWAGA CHOZI UTABIRI WA KIFO CHAKE
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Mwingine auawa Geita, kifo chake chatatanisha
9 years ago
StarTV21 Nov
 Wakazi Nyarugusu Geita waandamana kwa madai ya kifo cha mjamzito
Wakazi wa Kijiji cha Nyarugusu wilayani Geita wameandamana hadi katika Zahanati ya kijijini hapo kwa madai ya Nesi kuhusika kusababisha kifo cha mama mjamzito aliyekosa huduma kwa uzembe wa nesi wa zamu.
Inadaiwa kuwa Novemba 18 Marehemu Kabula George alifikishwa katika Zahanati ya Nyarugusu ambapo alipokelewa na Nesi wa Zamu majira ya saa tano usiku.
Nesi huyo alimhudumia na kumwambia asubiri baada ya saa nne na nesi huyo aliondoka na kwenda kulala ambapo Kabula alizidiwa na uchungu...