Wakazi Nyarugusu Geita waandamana kwa madai ya kifo cha mjamzito
Wakazi wa Kijiji cha Nyarugusu wilayani Geita wameandamana hadi katika Zahanati ya kijijini hapo kwa madai ya Nesi kuhusika kusababisha kifo cha mama mjamzito aliyekosa huduma kwa uzembe wa nesi wa zamu.
Inadaiwa kuwa Novemba 18 Marehemu Kabula George alifikishwa katika Zahanati ya Nyarugusu ambapo alipokelewa na Nesi wa Zamu majira ya saa tano usiku.
Nesi huyo alimhudumia na kumwambia asubiri baada ya saa nne na nesi huyo aliondoka na kwenda kulala ambapo Kabula alizidiwa na uchungu...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Dec
Kifo cha mjamzito chazua tafrani Sumbawanga
KIFO cha mjamzito aliyekuwa akijifungua katika kituo cha afya Mtowisa, wilayani Sumbawanga, kimezua tafrani baada ya wananchi kushambulia gari la kubeba wagonjwa wakitaka kulichoma kwa madai kwamba limechangia.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)
9 years ago
StarTV22 Nov
Hofu yatanda kwa viogozi wa vyama vya siasa mkoani Geita kuhusu Kifo Cha Mawazo
Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama ambaye pia ni Mkuu wa Wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie amesema kuna dalili za baadhi ya watu kutaka kuchafua amani iliyopo Wilayani hapo kwa kutoa taarifa zisizo na ukweli juu ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Alphonce Mawazo huku na baadhi ya watu kutishiwa maisha.
Amesema kuwa zipo taarifa za kiintelijensia na pia ushahidi wa ujumbe mfupi unaotishia kuwaua viongozi wa vyama vya siasa Wilaya na Mkoa wa Geita wakihusishwa na tukio la Kifo cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovCKQtfaKKE6Oln2-oMeNFW7xygv4wJgC-U02*-K1o*ZLTP*WT*Gu1LQqGxpyU763r3uqSgHnBhQNZeff8I7k5Nn/mainda.jpg?width=650)
MADAI MAZITO...MAINDA MJAMZITO
9 years ago
StarTV18 Dec
Watoto Denis na Esther Lucas walazwa Geita hospitali kwa Madai Ya Kuunguzwa Na Baba
Watoto wawili wa familia moja wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita wanaodaiwa kuunguzwa kwa moto na baba yao mzazi kwa tuhuma ya kuiba mboga kwa jirani wamefikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita kwa matibabu zaidi.
Kufikishwa hospitalini hapo kumekuja siku mbili baada ya wasamaria wema kugundua kuwa watoto hao wameunguzwa midomo, mikono na miguu na kisha kufichwa ndani kwa zaidi ya siku sita na baba yao mzazi Lucas Petro mwenye umri wa miaka 29.
Watoto waliounguzwa ni...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
9 years ago
StarTV15 Nov
Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita
Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.
Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-MPkHe1xMzSY/VkelXV4eL2I/AAAAAAAAXHY/D55vXMI9AIk/s72-c/MAWAZO1-page-001.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X267batM7nQ/U5avBvH3NrI/AAAAAAABAoA/Za3w9xOTzjU/s72-c/blog+10.jpg)
NSSF YAPIMA AFYA BURE KWA WAKAZI WA MKOA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-X267batM7nQ/U5avBvH3NrI/AAAAAAABAoA/Za3w9xOTzjU/s1600/blog+10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FqnSpEL65GM/U5avCWvpJkI/AAAAAAABAoI/cl86oYeH3MU/s1600/blog+%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCD180y5kko/U5au4mfZLVI/AAAAAAABAno/4RZ_cfON-F0/s1600/blog+1.jpg)