Kifo cha mjamzito chazua tafrani Sumbawanga
KIFO cha mjamzito aliyekuwa akijifungua katika kituo cha afya Mtowisa, wilayani Sumbawanga, kimezua tafrani baada ya wananchi kushambulia gari la kubeba wagonjwa wakitaka kulichoma kwa madai kwamba limechangia.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Nov
 Wakazi Nyarugusu Geita waandamana kwa madai ya kifo cha mjamzito
Wakazi wa Kijiji cha Nyarugusu wilayani Geita wameandamana hadi katika Zahanati ya kijijini hapo kwa madai ya Nesi kuhusika kusababisha kifo cha mama mjamzito aliyekosa huduma kwa uzembe wa nesi wa zamu.
Inadaiwa kuwa Novemba 18 Marehemu Kabula George alifikishwa katika Zahanati ya Nyarugusu ambapo alipokelewa na Nesi wa Zamu majira ya saa tano usiku.
Nesi huyo alimhudumia na kumwambia asubiri baada ya saa nne na nesi huyo aliondoka na kwenda kulala ambapo Kabula alizidiwa na uchungu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3IAaK9jvLUVfuZXL5*-K4sl2oedf1dTUtGfdeso91VF0YMrzEo4T74lT1ELQNsr2Wiz1bfIb-Z08YJe03IDbSsj/BACK.jpg)
KIMINI CHA TRAFIKI CHAZUA BALAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hesRW5bAaQmz0EoL*528dFsyQ87u1eJ5ot4uHF4Lo10dMKP3TfDOI8T9EJqSa3fNiW4ouMNfK5NtzgJeuYyvw8r/s.jpg?width=650)
KIVAZI CHA LINNAH CHAZUA GUMZO
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Kipigo cha Lipumba chazua mtafaruku
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, Bunge lilivunja kikao chake baada ya kuibuka mjadala mkali kutoka kwa wabunge wa kambi ya upinzani.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha Bunge baada ya wabunge hao wa upinzani kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili wajadili kitendo cha Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam kumpiga Profesa...
10 years ago
GPLKIVAZI CHA SHILOLE CHAZUA UTATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrSQtQ4NrBYehDjEdvcvjhHf97CV8UJM9J4nAopSZsT0gKnj3J2t4xvZ5iu70AG8GX4zWl65NbD*2hksDzOnEVw/sajent.jpg)
KIVAZI CHA SAJENT CHAZUA BALAA UKUMBINI!
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Kituo kipya cha makumbusho chazua Taharuki
9 years ago
StarTV29 Sep
Kichaa cha mbwa chazua hofu, maisha ya binadamu hatarini.
Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeonekana kuwa hatari zaidi kwa maisha ya binadamu na mifugo kutokana na baadhi ya watu waliojeruhiwa kwa kung’atwa na mbwa kupoteza maisha hasa kwa kuchelewa kufika katika Hospitali kwa matibabu ya haraka.
Maeneo ya vijijini ndio yanaonekana na hatari kubwa kutokana na wingi wa wafugaji wanaotegemea mbwa kwa ulinzi wa mali zao huku jamii ikiwa bado haioni umuhimu wa kuwahudumia mbwa matibabu ya kiafya.
Kila ifikapo septemba 28 duniani huadhimisha siku ya kichaa...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani