Kichaa cha mbwa chazua hofu, maisha ya binadamu hatarini.
Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeonekana kuwa hatari zaidi kwa maisha ya binadamu na mifugo kutokana na baadhi ya watu waliojeruhiwa kwa kung’atwa na mbwa kupoteza maisha hasa kwa kuchelewa kufika katika Hospitali kwa matibabu ya haraka.
Maeneo ya vijijini ndio yanaonekana na hatari kubwa kutokana na wingi wa wafugaji wanaotegemea mbwa kwa ulinzi wa mali zao huku jamii ikiwa bado haioni umuhimu wa kuwahudumia mbwa matibabu ya kiafya.
Kila ifikapo septemba 28 duniani huadhimisha siku ya kichaa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Kichaa cha Mbwa: Ugonjwa unaowaathiri wakazi Dodoma
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Mbwa wenye kichaa waua mwanafunzi
Wananchi wenye hasira wawaua na kuwachoma moto
Na Mwandishi Wetu
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ludewa mkoani Njombe, Iblahim Chipungahelom ameuawa na kisha kuliwa nyama na mbwa wanaodaiwa kuugua kicha kwa kukosa chakula kwa muda mrefu.
Tukio hilo la kusikitisha na lililoleta simanzi kubwa kwa wakazi wa Ludewa Mjini, lilitokea Agosti 8, mwaka huu, saa saba mchana katika eneo la Ikulu, ambapo mtoto huyo na wenzake walikuwa wakipita jirani na nyumba ya Bosco Lingalangala kwenda kuchuma...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mbwa avalishwa na kutembea kama binadamu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hesRW5bAaQmz0EoL*528dFsyQ87u1eJ5ot4uHF4Lo10dMKP3TfDOI8T9EJqSa3fNiW4ouMNfK5NtzgJeuYyvw8r/s.jpg?width=650)
KIVAZI CHA LINNAH CHAZUA GUMZO
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Kipigo cha Lipumba chazua mtafaruku
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, Bunge lilivunja kikao chake baada ya kuibuka mjadala mkali kutoka kwa wabunge wa kambi ya upinzani.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha Bunge baada ya wabunge hao wa upinzani kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili wajadili kitendo cha Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam kumpiga Profesa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3IAaK9jvLUVfuZXL5*-K4sl2oedf1dTUtGfdeso91VF0YMrzEo4T74lT1ELQNsr2Wiz1bfIb-Z08YJe03IDbSsj/BACK.jpg)
KIMINI CHA TRAFIKI CHAZUA BALAA
10 years ago
GPLKIVAZI CHA SHILOLE CHAZUA UTATA
11 years ago
Habarileo30 Dec
Kifo cha mjamzito chazua tafrani Sumbawanga
KIFO cha mjamzito aliyekuwa akijifungua katika kituo cha afya Mtowisa, wilayani Sumbawanga, kimezua tafrani baada ya wananchi kushambulia gari la kubeba wagonjwa wakitaka kulichoma kwa madai kwamba limechangia.
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Kituo kipya cha makumbusho chazua Taharuki