Mbwa avalishwa na kutembea kama binadamu
Mbwa aliyekuwa amevalia kama mwanadamu huku akitembea kwa miguu yake miwili amezua mjadala katika mitandao ya kijamii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Sep
Kichaa cha mbwa chazua hofu, maisha ya binadamu hatarini.
Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeonekana kuwa hatari zaidi kwa maisha ya binadamu na mifugo kutokana na baadhi ya watu waliojeruhiwa kwa kung’atwa na mbwa kupoteza maisha hasa kwa kuchelewa kufika katika Hospitali kwa matibabu ya haraka.
Maeneo ya vijijini ndio yanaonekana na hatari kubwa kutokana na wingi wa wafugaji wanaotegemea mbwa kwa ulinzi wa mali zao huku jamii ikiwa bado haioni umuhimu wa kuwahudumia mbwa matibabu ya kiafya.
Kila ifikapo septemba 28 duniani huadhimisha siku ya kichaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lO1nR1WSZXsFRSzAMSaK*IZijWLbDPZp4WB7Pz13iU-6nVwaLFlHpGGl7puSKhFY7w86RUnoQRf1I0y*6QNSPaoyiR9YtZ1c/PastorDrownsWhenHeAttemptsToWalkOnWater.jpg?width=600)
MCHUNGAJI AFARIKI AKIJARUBU KUTEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Mbwa wanaosujudiwa kama watoto, lulu na mapenzi
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
GOMBE: Hifadhi yenye sokwe wanaoishi kama binadamu
TANZANIA imejaliwa kuwa na hifadhi zenye vivutio mbalimbali wakiwamo wanyama, ndege, maua, milima, vijito, fukwe nzuri na maporomoko ya maji. Hifadhi zilizopo ni Mlima Kilimanjaro, Gombe, Rubondo, Katavi, Ruaha, Kitulo,...
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kikwete avalishwa usaliti
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete juzi bungeni imeleta mpasuko mkubwa miongoni mwa Watanzania, na sasa wengine wanamtuhumu kwa kusaliti Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wananchi na taifa. Wapo wanaokwenda mbali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJsEtP4oQj-DmFpHU8Ejm5T0*rP40zGuhoCVhZr0qN7Ou5eOarLC45oIIzRJqJgpJC7C2Jn6nrvdJx2bBpudJil/diamond.png)
DIOMOND AVALISHWA WIGI.....KAPENDEZAJE!!!!