Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Vinara Mbwa Mwitu, Panya Road mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata viongozi sita wa makundi ya uhalifu maarufu kwa majina ya Mbwa Mwitu na Panya Road. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kamanda Kova hawajui Mbwa Mwitu, Panya Road?
MIONGONI mwa matukio makubwa yanayotikisa Jiji la Dar es Salaam sasa ni uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ya jiji yanayofanywa na vijana wanaojiita Mbwa Mwitu na Panya Road. Vijana...
10 years ago
GPLMAKONGORO POLISI JAMII NDIYO DAWA YA ‘MBWA MWITU, PANYA ROAD’
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kundi la Mbwa mwitu kusakwa
11 years ago
Mwananchi16 Jan
‘Mbwa mwitu’ 2 watoro wanaswa
11 years ago
TheCitizen03 Feb
EDITORIAL: Tame ‘Mbwa Mwitu’ menace
11 years ago
Mwananchi25 May
Kova: Tumewanasa viongozi wa ‘Mbwa Mwitu’
11 years ago
Mwananchi‘Mbwa Mwitu’ waiteka mitaa Dar