Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kova: Tumewanasa viongozi wa ‘Mbwa Mwitu’

>Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu sita wanaodaiwa ni viongozi wa kundi la ‘Mbwa Mwitu’ linalojihusisha na vitendo vya uvamizi na uporaji wa mali za watu kwenye nyumba na maduka jijini humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda Kova hawajui Mbwa Mwitu, Panya Road?

MIONGONI mwa matukio makubwa yanayotikisa Jiji la Dar es Salaam sasa ni uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ya jiji yanayofanywa na vijana wanaojiita Mbwa Mwitu na Panya Road. Vijana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kova asaka ‘Mbwa Mwitu’ nyumba kwa nyumba

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limeanzisha operesheni ya nyumba kwa nyumba ya kuwasaka vijana wanaojihusisha na kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa Mwitu’ na kuahidi ndani...

 

11 years ago

Habarileo

Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa

JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa

Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mbwa mwitu’ 2 watoro wanaswa

Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Dar es Salaam, wanawashikilia watu wawili wa kundi la Mbwa mwitu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kundi la Mbwa mwitu kusakwa

>Kamanda wa Polisi katika Kanda Maalumu  ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ametoa muda wa wiki moja kwa makamanda wa Polisi wa mikoa ya kanda hiyo, kushirikiana na wananchi, ili kuwasaka na kuwatia mbaroni vijana wanaojiita ‘mbwa mwitu’ wanaotishia usalama wa watu jijini.

 

11 years ago

Daily News

Residents blamed over 'Mbwa Mwitu' thugs


Residents blamed over 'Mbwa Mwitu' thugs
Daily News
FEW weeks after a criminal gang dubbed 'Mbwa Mwitu' embarked on a looting and raping spree, including beating up residents in some parts of Ilala and Temeke municipalities, police in Temeke Region have blamed residents of the affected areas for failing ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mbwa Mwitu’ waiteka mitaa Dar

>Polisi jijini Dar es Salaam wamelazimika kutumia mabomu kulitawanya kundi la vijana zaidi ya 300 wanaojiita ‘Mbwa Mwitu’ lililokuwa limewavamia wananchi na kupora mali kwenye nyumba na maduka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pugu waomba ‘Mbwa Mwitu’ washughulikiwe

WAKAZI wa Pugu Mnadani wilayani Ilala, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam wameliomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani