Pugu waomba ‘Mbwa Mwitu’ washughulikiwe
WAKAZI wa Pugu Mnadani wilayani Ilala, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam wameliomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kundi la Mbwa mwitu kusakwa
>Kamanda wa Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ametoa muda wa wiki moja kwa makamanda wa Polisi wa mikoa ya kanda hiyo, kushirikiana na wananchi, ili kuwasaka na kuwatia mbaroni vijana wanaojiita ‘mbwa mwitu’ wanaotishia usalama wa watu jijini.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
‘Mbwa mwitu’ 2 watoro wanaswa
Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Dar es Salaam, wanawashikilia watu wawili wa kundi la Mbwa mwitu.
11 years ago
Daily News05 Feb
Residents blamed over 'Mbwa Mwitu' thugs
Daily News
FEW weeks after a criminal gang dubbed 'Mbwa Mwitu' embarked on a looting and raping spree, including beating up residents in some parts of Ilala and Temeke municipalities, police in Temeke Region have blamed residents of the affected areas for failing ...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Wanaodaiwa ‘Mbwa Mwitu’ kizimbani Dar
Wakazi sita wa Dar es Salaam maarufu Mbwa Mwitu au waanzilishi wa kundi la Watoto wa Mbwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325042/highRes/588962/-/maxw/600/-/xyywgoz/-/mbwa.jpg)
‘Mbwa Mwitu’ waiteka mitaa Dar
>Polisi jijini Dar es Salaam wamelazimika kutumia mabomu kulitawanya kundi la vijana zaidi ya 300 wanaojiita ‘Mbwa Mwitu’ lililokuwa limewavamia wananchi na kupora mali kwenye nyumba na maduka.
11 years ago
Mwananchi25 May
Kova: Tumewanasa viongozi wa ‘Mbwa Mwitu’
>Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu sita wanaodaiwa ni viongozi wa kundi la ‘Mbwa Mwitu’ linalojihusisha na vitendo vya uvamizi na uporaji wa mali za watu kwenye nyumba na maduka jijini humo.
11 years ago
TheCitizen03 Feb
EDITORIAL: Tame ‘Mbwa Mwitu’ menace
>It would seem that police in Dar es Salaam are doing precious little to deal with vicious gangsters calling themselves Mbwa Mwitu (Wild Dogs).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania