Wanaodaiwa ‘Mbwa Mwitu’ kizimbani Dar
Wakazi sita wa Dar es Salaam maarufu Mbwa Mwitu au waanzilishi wa kundi la Watoto wa Mbwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325042/highRes/588962/-/maxw/600/-/xyywgoz/-/mbwa.jpg)
‘Mbwa Mwitu’ waiteka mitaa Dar
11 years ago
GPLWAKAZI WA DAR WACHOCHWA NA TABIA YA VIBAKA (MBWA MWITU)
11 years ago
Habarileo25 May
Sita mbaroni wakihusishwa kuongoza `Mbwa Mwitu’ Dar
JESHI la Polisi limewakamata watu 6, wanaosadikiwa kuwa ni vinara wa vikundi hatari vya `Mbwa Mwitu’, `Watoto wa Mbwa’ au `Panya Road’ . Vikundi hivyo vinajihusisha na matukio ya kihalifu jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
11 years ago
Mwananchi16 Jan
‘Mbwa mwitu’ 2 watoro wanaswa
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kundi la Mbwa mwitu kusakwa
11 years ago
Daily News05 Feb
Residents blamed over 'Mbwa Mwitu' thugs
Daily News
FEW weeks after a criminal gang dubbed 'Mbwa Mwitu' embarked on a looting and raping spree, including beating up residents in some parts of Ilala and Temeke municipalities, police in Temeke Region have blamed residents of the affected areas for failing ...
11 years ago
Mwananchi25 May
Kova: Tumewanasa viongozi wa ‘Mbwa Mwitu’