Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vinara Mbwa Mwitu, Panya Road mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata viongozi sita wa makundi ya uhalifu maarufu kwa majina ya Mbwa Mwitu na Panya Road. Akizungumza na waandishi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa

JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa

Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda Kova hawajui Mbwa Mwitu, Panya Road?

MIONGONI mwa matukio makubwa yanayotikisa Jiji la Dar es Salaam sasa ni uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ya jiji yanayofanywa na vijana wanaojiita Mbwa Mwitu na Panya Road. Vijana...

 

10 years ago

GPL

MAKONGORO POLISI JAMII NDIYO DAWA YA ‘MBWA MWITU, PANYA ROAD’

Segerea ni moja kati ya majimbo matatu yaliyopo kwenye Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. Mheshimiwa Milton Makongoro Mahanga ndiye mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi. Wiki iliyopita, gazeti la Uwazi lilifunga safari mpaka jimboni humo na kuanza kukata mitaa kuzungumza na wananchi ili kujua kero mbalimbali zinazowakabili na namna mbunge wao anavyozishughulikia. MATATIZO YA WANANCHI
Wananchi wa Segerea...

 

11 years ago

Habarileo

Sita mbaroni wakihusishwa kuongoza `Mbwa Mwitu’ Dar

JESHI la Polisi limewakamata watu 6, wanaosadikiwa kuwa ni vinara wa vikundi hatari vya `Mbwa Mwitu’, `Watoto wa Mbwa’ au `Panya Road’ . Vikundi hivyo vinajihusisha na matukio ya kihalifu jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

CloudsFM

Panya Road 36 mbaroni

JESHI la Polisi nchini linawashikilia vijana 36 wanaotuhumiwa kujihusisha na kikundi cha uhalifu jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘panya road’, ambacho kilizua taharuki kubwa juzi.
Vijana wa kikundi hicho wenye umri wa kati ya miaka 16 mpaka 30, walizua vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji na kusababisha baadhi ya shughuli kusitishwa kwa muda.

Wananchi walikuwa na hofu ya kuvamiwa na wahalifu wa kikundi hicho, waliokuwa wanapiga watu, kupora na kuharibu magari.

Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road 500 mbaroni

Pg 1 kova

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewatia mbaroni vijana 500, maarufu Panya Road ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova, alisema vijana hao walikamatwa katika operesheni maalumu iliyofanyika katika mikoa mitatu ya kipolisi ya Ilala ambako walikamatwa vijana 104, Temeke (168) na Kinondoni (202).
Alisema operesheni hiyo ilitokana...

 

10 years ago

Habarileo

Panya Road 510 mbaroni

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaJESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 510 wakiwemo viongozi watatu wa kundi linalojihusisha na uhalifu la ‘Panya Road’ .

 

10 years ago

Vijimambo

'Panya Road' waliotiwa mbaroni wafikia 953

Vijana 953 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘Panya Road’ wamekamatwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini.

Kamanda wa polisi Ilala, Mary Nzuki, alisema operesheni hiyo imefanyika kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa wao ikiwamo kwenye makutano ya wahuni wanaojihusisha na uvutaji bangi, dawa za kulevya na unywaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani