Panya Road 510 mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 510 wakiwemo viongozi watatu wa kundi linalojihusisha na uhalifu la ‘Panya Road’ .
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen07 Jan
Crackdown nets 510 ‘Panya Road’ suspects
10 years ago
IPPmedia06 Jan
510 'panya road' netted in Dar es Salaam
IPPmedia
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have arrested 510 youths and three ring-leaders in association with the criminal group popularly known as 'panya road' who are suspected to cause violence and chaos in the evening of Friday last week. Their arrest follows a police ...
500 arrested over 'Panya Road'Daily News
Tanzanian police arrest 36 in connection with gang violenceSabahi Online
Let Rule of Law RuleAllAfrica.com
all 15
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gqmcW82rQWs/VKqiRCpJbgI/AAAAAAADU2w/11QgWkli60E/s72-c/kova.jpg)
Watuhumiwa 510 mtandao wa panya road wakamatwa Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-gqmcW82rQWs/VKqiRCpJbgI/AAAAAAADU2w/11QgWkli60E/s1600/kova.jpg)
Vijana 510 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘panya road’ wamekamatwa na jeshi la Polisi Kanda Maalum jijini Dar es Salaam kwa mahojiano.Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya Kinondoni, Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi nchini.Kamishna wa Polisi Suleiman Kova ametoa wito kwa wazazi wa watoto...
10 years ago
CloudsFM05 Jan
Panya Road 36 mbaroni
Vijana wa kikundi hicho wenye umri wa kati ya miaka 16 mpaka 30, walizua vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji na kusababisha baadhi ya shughuli kusitishwa kwa muda.
Wananchi walikuwa na hofu ya kuvamiwa na wahalifu wa kikundi hicho, waliokuwa wanapiga watu, kupora na kuharibu magari.
Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Mtanzania06 Jan
Panya Road 500 mbaroni
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewatia mbaroni vijana 500, maarufu Panya Road ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova, alisema vijana hao walikamatwa katika operesheni maalumu iliyofanyika katika mikoa mitatu ya kipolisi ya Ilala ambako walikamatwa vijana 104, Temeke (168) na Kinondoni (202).
Alisema operesheni hiyo ilitokana...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
'Panya Road' waliotiwa mbaroni wafikia 953
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kova-08Jan2014.jpg)
Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini.
Kamanda wa polisi Ilala, Mary Nzuki, alisema operesheni hiyo imefanyika kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa wao ikiwamo kwenye makutano ya wahuni wanaojihusisha na uvutaji bangi, dawa za kulevya na unywaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Vinara Mbwa Mwitu, Panya Road mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata viongozi sita wa makundi ya uhalifu maarufu kwa majina ya Mbwa Mwitu na Panya Road. Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F7ZJQNfzxg0/VLfS_dVIL9I/AAAAAAAG9lA/oOU92aQ5EiU/s72-c/DSC_0147.jpg)
JESHI LA POLISI LAZIDI KUWATIA MBARONI PANYA ROAD, SASA IDADI YAFIKIA 1508
![](http://2.bp.blogspot.com/-F7ZJQNfzxg0/VLfS_dVIL9I/AAAAAAAG9lA/oOU92aQ5EiU/s1600/DSC_0147.jpg)
Msako huo mkali ni endelevu kama ilivyokwishaelezwa tangu awali mpaka tutakapohakikisha uhalifu wa makundi au jina la panya road litakapofutika kabisa. Misako hii inafanyika katika mikoa yote ya kipolisi yaani Ilala, Temeke na Kinondoni na makamanda wa mikoa hiyo wanaendelea kuwa wasimamizi wakuu wa misako hii.
Misako hii...
10 years ago
Mtanzania03 Jan
Panya Road waivuruga Dar
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
Na Waandishi Wetu
GENGE la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu jijini Dar es Salaam linalofahamika zaidi kwa jina la Panya Road, jana usiku lilivamia maeneo mbalimbali ya jiji na kufanya vitendo vya uhalifu.
Taarifa za kufanyika kwa vitendo hivyo vya uhalifu zilifika katika chumba cha habari cha gazeti la MTANZANIA Jumamosi saa 2.00 usiku na dakika chache baadaye zilisambaa katika mitandao ya kijamii huku zikiwa...