Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Panya Road waivuruga Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Na Waandishi Wetu
GENGE la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu jijini Dar es Salaam linalofahamika zaidi kwa jina la Panya Road, jana usiku lilivamia maeneo mbalimbali ya jiji na kufanya vitendo vya uhalifu.
Taarifa za kufanyika kwa vitendo hivyo vya uhalifu zilifika katika chumba cha habari cha gazeti la MTANZANIA Jumamosi saa 2.00 usiku na dakika chache baadaye zilisambaa katika mitandao ya kijamii huku zikiwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

AllAfrica.Com

Panya Road Arrests Continue in Dar


Daily News
Panya Road Arrests Continue in Dar
AllAfrica.com
POLICE in Dar es Salaam are still carrying out an operation in different parts of the city to arrest all young people who are members of a criminal group known as 'Panya Road' who are alleged to have invaded and attacked people last Friday. The Dar es ...
Tanzanian police stage crackdown on Panya Road gangSabahi Online
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Dar should act 'big cat' to tame 'Panya Road''Daily News

all 25

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road wafurika mahabusu Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Asifiwe George na Mwajabu Kusupa (TEC), Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limeendelea na kamatakamata ya vijana wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji, walio maarufu kwa jina la Panya Road.
Watuhumiwa 329 zaidi wametiwa mbaroni jana katika operesheni iliyofanyika katika mikoa miwili ya kipolisi, Temeke na Ilala na kufanya idadi yao kufikia 953.
Operesheni hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Panya road watikisa jiji la Dar

6955917312_d80d4a80e6_b

Kundi linalozaniwa ni la kihalifu maafuru kama “Panya Road” usiku wa leo wametoa hofu kubwa kwa wakazi wa Dar yakiwemo maeneo ya Tandale, Manzese, Magomeni, Mabibo na mengineyo.

Kundi hilo limezua hofu na kusababisha maduka kufungwa mapema huku watu wakikimbia ovyo kwa hofu na shughuli zote kwenye baadhi ya maeneo ya jiji kusimama mpaka pale hali itakapotengemaa.

Imebainika baadhi ya maeneo ni Magomeni, Tabata, Kinondoni na kwingineko kundi hilo limepita na kufanya uhalifu kwa kupora...

 

10 years ago

IPPmedia

510 'panya road' netted in Dar es Salaam


IPPmedia
510 'panya road' netted in Dar es Salaam
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have arrested 510 youths and three ring-leaders in association with the criminal group popularly known as 'panya road' who are suspected to cause violence and chaos in the evening of Friday last week. Their arrest follows a police ...
500 arrested over 'Panya Road'Daily News
Tanzanian police arrest 36 in connection with gang violenceSabahi Online
Let Rule of Law RuleAllAfrica.com

all 15

 

10 years ago

GPL

PANYA ROAD WALIVYOTIA HOFU WAKAZI DAR

Polisi wa Kanda Maalum ya Polisi ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova. Jana usiku Jiji la Dar es Salaam wakazi wake walijawa na  taharuki, hofu na wasiwasi mkubwa kwa saa mbili baada ya kundi maarufu la waporaji lililojulikana kama  Panya Road, kudaiwa kuvamia mitaa mbalimbali na kupora mali. Taarifa zilizoenezwa na watu wasiojulikana zilidai kuwa  kundi hilo lilikuwa linapora watu katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo...

 

10 years ago

GPL

PANYA ROAD WALISIMAMISHA JIJI, DAR SI SALAMA

Stori: Mwandishi Wetu
ACHENI jamani! Vurugu tuzisikie tu kwa wenzetu! Kitendo cha vijana wachache wasio na maadili wanaojiita Panya Road kufanya fujo kidogo katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar, wakazi wa jiji hilo wamekitafsiri kitendo hicho na kusema Dar sasa si sehemu salama tena ya kuishi, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionyesha picha ya baadhi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Watuhumiwa 510 mtandao wa panya road wakamatwa Dar

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Suleiman Kova
Vijana 510 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘panya road’ wamekamatwa na jeshi la Polisi Kanda Maalum jijini Dar es Salaam kwa mahojiano.Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya Kinondoni, Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi nchini.Kamishna wa Polisi Suleiman Kova ametoa wito kwa wazazi wa watoto...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Panya road’ wafunga mitaa minne Dar es Salaam

 Ilikuwa hekaheka iliyosababisha shughuli katika mitaa minne ya Tabata, Dar es Salaam kusimama kwa saa nne baada ya kundi la vijana wenye nondo, mawe na visu kushambulia watu, kupora na kuharibu mali kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni kulipiza kisasi.

 

10 years ago

Daily News

Dar should act 'big cat' to tame 'Panya Road''


IPPmedia
Dar should act 'big cat' to tame 'Panya Road''
Daily News
THE city of Dar es Salaam has recently found itself at the crossroads again following widespread reports of the extence of criminal gangs of juvenile thugs, which go by such funny names including ''Panya Road'', “Mbwa Mwitu'' and ''Wamarekani Weusi''.
`Panya Road` rampage: Police intelligence non-existent, reacting afterwardsIPPmedia

all 7

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani