Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIOMOND AVALISHWA WIGI.....KAPENDEZAJE!!!!

Wema baada ya kuhangaika kulitafuta wigi lake, hatimaye akambamba baby wake kalivaa Lol, akampiga picha, akaitupia Instagram na kuisindikiza na maneno haya:

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mrembo anapoporwa wigi likiwa kichwani mwake!

WAHENGA walisema ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, hivyo ndivyo nilivyojikuta mimi pamoja na watu wengine tukiwashangaa watu wawili kwa wakati mmoja kutokana na kitendo alichokifanya kijana aliyekuwa na sifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete avalishwa usaliti

HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete juzi bungeni imeleta mpasuko mkubwa miongoni mwa Watanzania, na sasa wengine wanamtuhumu kwa kusaliti Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wananchi na taifa. Wapo wanaokwenda mbali...

 

9 years ago

GPL

TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20

Staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh akiwa na mumewe Mr. X, Oladunni. Lagos, Nigeria
BAADA ya kufunga rasmi ndoa ya kimila nchini Naija, staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh amefunguka kuwa pete aliyovishwa na mchumba wake, Mr. X, Oladunni kwenye harusi yake ina gharama ya shilingi milioni 20. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto alitupia picha ya pete hiyo na kuambatanisha na maneno yaliyosomeka; “Mungu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbwa avalishwa na kutembea kama binadamu

Mbwa aliyekuwa amevalia kama mwanadamu huku akitembea kwa miguu yake miwili amezua mjadala katika mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

GPL

MTOTO AVALISHWA NAILONI MKONONI, ACHOMWA MOTO

Chande Abdalah na Denis Mtima
OOoh my God! Mtoto Elifrida Nicholaus (6), mkazi wa Mkolani, Nyamagana jijini hapa alizaliwa mzima kabisa lakini sasa ni kilema baada ya kudaiwa kuchomwa moto mkononi na shangazi yake aliyemtaja kwa jina moja la Esta. Mtoto Elifrida Nicholaus baada ya kuchomwa moto na shangazi yake. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Julai 10, mwaka jana ambapo Elifrida aliyechukuliwa kutoka Kigoma kwa wazazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani