Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20

Staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh akiwa na mumewe Mr. X, Oladunni. Lagos, Nigeria
BAADA ya kufunga rasmi ndoa ya kimila nchini Naija, staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh amefunguka kuwa pete aliyovishwa na mchumba wake, Mr. X, Oladunni kwenye harusi yake ina gharama ya shilingi milioni 20. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto alitupia picha ya pete hiyo na kuambatanisha na maneno yaliyosomeka; “Mungu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete avalishwa usaliti

HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete juzi bungeni imeleta mpasuko mkubwa miongoni mwa Watanzania, na sasa wengine wanamtuhumu kwa kusaliti Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wananchi na taifa. Wapo wanaokwenda mbali...

 

11 years ago

GPL

DIOMOND AVALISHWA WIGI.....KAPENDEZAJE!!!!

Wema baada ya kuhangaika kulitafuta wigi lake, hatimaye akambamba baby wake kalivaa Lol, akampiga picha, akaitupia Instagram na kuisindikiza na maneno haya:

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbwa avalishwa na kutembea kama binadamu

Mbwa aliyekuwa amevalia kama mwanadamu huku akitembea kwa miguu yake miwili amezua mjadala katika mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

GPL

MTOTO AVALISHWA NAILONI MKONONI, ACHOMWA MOTO

Chande Abdalah na Denis Mtima
OOoh my God! Mtoto Elifrida Nicholaus (6), mkazi wa Mkolani, Nyamagana jijini hapa alizaliwa mzima kabisa lakini sasa ni kilema baada ya kudaiwa kuchomwa moto mkononi na shangazi yake aliyemtaja kwa jina moja la Esta. Mtoto Elifrida Nicholaus baada ya kuchomwa moto na shangazi yake. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Julai 10, mwaka jana ambapo Elifrida aliyechukuliwa kutoka Kigoma kwa wazazi...

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI

Staa wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh. Lagos, Nigeria
STAA wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh, 29, amevunja ukimya baada ya kusema ataolewa hivi karibuni na mchumba wake, Churchill Olakunke Oladunni a.k.a Mr. X ambaye ni mfanyabiashara. Staa wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh akiwa na mpenzi wake Churchill Olakunke Oladunni a.k.a Mr. X.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa tayari mume huyo mtarajiwa… ...

 

10 years ago

GPL

INASEMEKANA TONTO DIKEH AOLEWA NA TAYARI NI MJAMZITO

Nyota wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Tonto Dikeh. Lagos, Nigeria MIEZI kadhaa iliyopita, nyota wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Tonto Dikeh, alithibitisha kwamba alikuwa karibu kuolewa, jambo ambalo alilitoa hadharani muda mfupi baada ya uhusiano wake na Churchill Oladunni maarufu kama Mr. X kuvurugika. Picha aliyoweka kwenye akaunti yake ya Instagram. Katika kuimarisha kauli yake, mwigizaji huyo ambaye pia ni mwimbaji,...

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH AOLEWA, ABADILI JINA INSTAGRAM

Muigizaji kiwango kutoka Nigeria, Tonto Dikeh. Lagos ,NIgeria
MUIGIZAJI kiwango kutoka Nigeria, Tonto Dikeh ameolewa rasmi na aliyekuwa mpenzi wake, Churchill Olakunle Oladunni wiki iliyopita.Tarifa za kuolewa zilianza kuzagaa mapema wiki iliyopita baada ya staa huyo kubadili jina lake kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram na kujiita, Mrs Tonto Wigo Dikeh-Churchill. Lakini wikiendi iliyopita zilizagaa picha mitandaoni...

 

9 years ago

Global Publishers

Tonto Dikeh apewa Prado na mumewe kama zawadi ya Krismasi

Prado-2016-4

Toyota Prado

MSANII mwenye vituko kunako tasnia ya filamu, Nollywood, Tonto Dikeh Sikukuu ya Krismasi mwaka huu imekuwa nzuri kwake baada ya mumewe kipenzi, Olanrewaju Churchill kumkabidhi Prado nyeupe kama zawadi ya sikukuu.

Prado-2016-5Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto aliweka furaha yake kwa mashabiki kwa kutupia picha ya gari hilo na kumuita mumewe huyo KingKong.

“Ahsante kwa KingKong wangu kwa kunibariki gari hili ambalo ni jipya kabisa, Prado ya mwaka 2016. Mungu akubariki sana wewe mtu...

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE

Mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria Tonto Dikeh.
TONTO DIKEH, mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, ambaye ni ‘mcharuko’ na ambaye alidaiwa kumchukua mume wa mtu hivi karibuni, hivi sasa amekuwa kama mhamasishaji ambapo anatoa ujumbe mbalimbali wa kuwatia matumaini mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram. Tonto ambaye ni mzaliwa wa Jimbo la River na aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza filamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani