Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TONTO DIKEH AOLEWA, ABADILI JINA INSTAGRAM

Muigizaji kiwango kutoka Nigeria, Tonto Dikeh. Lagos ,NIgeria
MUIGIZAJI kiwango kutoka Nigeria, Tonto Dikeh ameolewa rasmi na aliyekuwa mpenzi wake, Churchill Olakunle Oladunni wiki iliyopita.Tarifa za kuolewa zilianza kuzagaa mapema wiki iliyopita baada ya staa huyo kubadili jina lake kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram na kujiita, Mrs Tonto Wigo Dikeh-Churchill. Lakini wikiendi iliyopita zilizagaa picha mitandaoni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

INASEMEKANA TONTO DIKEH AOLEWA NA TAYARI NI MJAMZITO

Nyota wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Tonto Dikeh. Lagos, Nigeria MIEZI kadhaa iliyopita, nyota wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Tonto Dikeh, alithibitisha kwamba alikuwa karibu kuolewa, jambo ambalo alilitoa hadharani muda mfupi baada ya uhusiano wake na Churchill Oladunni maarufu kama Mr. X kuvurugika. Picha aliyoweka kwenye akaunti yake ya Instagram. Katika kuimarisha kauli yake, mwigizaji huyo ambaye pia ni mwimbaji,...

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI

Staa wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh. Lagos, Nigeria
STAA wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh, 29, amevunja ukimya baada ya kusema ataolewa hivi karibuni na mchumba wake, Churchill Olakunke Oladunni a.k.a Mr. X ambaye ni mfanyabiashara. Staa wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh akiwa na mpenzi wake Churchill Olakunke Oladunni a.k.a Mr. X.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa tayari mume huyo mtarajiwa… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Tonto Dikeh apewa Prado na mumewe kama zawadi ya Krismasi

Prado-2016-4

Toyota Prado

MSANII mwenye vituko kunako tasnia ya filamu, Nollywood, Tonto Dikeh Sikukuu ya Krismasi mwaka huu imekuwa nzuri kwake baada ya mumewe kipenzi, Olanrewaju Churchill kumkabidhi Prado nyeupe kama zawadi ya sikukuu.

Prado-2016-5Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto aliweka furaha yake kwa mashabiki kwa kutupia picha ya gari hilo na kumuita mumewe huyo KingKong.

“Ahsante kwa KingKong wangu kwa kunibariki gari hili ambalo ni jipya kabisa, Prado ya mwaka 2016. Mungu akubariki sana wewe mtu...

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE

Mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria Tonto Dikeh.
TONTO DIKEH, mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, ambaye ni ‘mcharuko’ na ambaye alidaiwa kumchukua mume wa mtu hivi karibuni, hivi sasa amekuwa kama mhamasishaji ambapo anatoa ujumbe mbalimbali wa kuwatia matumaini mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram. Tonto ambaye ni mzaliwa wa Jimbo la River na aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza filamu...

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea abadili jina

MGOMBEA ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa tiketi ya Chadema, Shadrack Mmalila ametangaza rasmi kuwa ameapa mahakamani kubadili jina ambapo sasa ataitwa Ikuwo Shadrack Mmalila.

 

10 years ago

Bongo5

Frank Ocean abadili jina lake kisheria

Frank Ocean amelifanya jina hilo kuwa lake kisheria. Kwa mujibu wa TMZ, Ocean amebadili jina lake kutoka Christopher Edwin Breaux ambalo ndilo alilozaliwa nalo na sasa atajulikana kwa jina la muziki, Frank Ocean. Ocean alikuwa abadili jina lake tangu mwaka jana lakini jaji wa Los Angeles alichelewesha mchakato hadi pale aliposhughulikia kusitishwa kwa leseni yake […]

 

11 years ago

GPL

AMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA

Stori: Musa Mateja
Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Amini Mwinyimkuu amefunguka kuwa, aliamua kufunga ndoa ya fasta ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Amini Mwinyimkuu. Akizungumza na Ijumaa  hivi karibuni, Amini ambaye amemuoa binti aitwaye  Farida Bashiri alisema ilikuwa vigumu kufanya sherehe kubwa...

 

9 years ago

Bongo5

Instagram yaboresha huduma yake ya ‘Instagram Direct’

Habari njema kwa watumiaji wa mtandao wa kushare picha wa Instagram ni kuwa, huduma ya ‘Instagram Direct’ sasa imeboreshwa zaidi. Instagram Direct ni huduma inayowawezesha watumiaji kuweza kutumiana picha, video na ujumbe binafsi kwa mtu mmoja, au kundi la watu atakaowachagua mwenyewe bila mtu mwingine kuona. Hivi sasa kuna ki mshale kimeongezwa pembeni mwa icon […]

 

9 years ago

GPL

TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20

Staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh akiwa na mumewe Mr. X, Oladunni. Lagos, Nigeria
BAADA ya kufunga rasmi ndoa ya kimila nchini Naija, staa wa filamu mwenye vituko, Tonto Dikeh amefunguka kuwa pete aliyovishwa na mchumba wake, Mr. X, Oladunni kwenye harusi yake ina gharama ya shilingi milioni 20. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto alitupia picha ya pete hiyo na kuambatanisha na maneno yaliyosomeka; “Mungu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani