INASEMEKANA TONTO DIKEH AOLEWA NA TAYARI NI MJAMZITO
![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88AxBvQ5w4N5Us6BzMjE75-y9BuhO6DT-rjumQOn2beLFLP7jr6sEWtoVagsKWOROWgTPs3da6eZcyNnL5gPhg3L2/tonot6666666.gif)
Nyota wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Tonto Dikeh. Lagos, Nigeria MIEZI kadhaa iliyopita, nyota wa filamu wa Nollywood, Nigeria, Tonto Dikeh, alithibitisha kwamba alikuwa karibu kuolewa, jambo ambalo alilitoa hadharani muda mfupi baada ya uhusiano wake na Churchill Oladunni maarufu kama Mr. X kuvurugika. Picha aliyoweka kwenye akaunti yake ya Instagram. Katika kuimarisha kauli yake, mwigizaji huyo ambaye pia ni mwimbaji,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSklaMOpwvq8GS6JQ12PgnToYN21Zy34zKlmUR4HiCrCrighpg6pQxexu1kmSx9J2g*INVhIJLXuGBCiAgekiBux/TontoDikeh.jpg?width=650)
TONTO DIKEH AOLEWA, ABADILI JINA INSTAGRAM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoOxdohUuXXkHVhuJHDpXO9BJOu07wiST1nS7ncl8NJG1-WQ7*XnASDa7yLy0P0eBYnDvUnmj1dGeg6Axnuw-Fw/tono.jpg?width=650)
TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Tonto Dikeh apewa Prado na mumewe kama zawadi ya Krismasi
Toyota Prado
MSANII mwenye vituko kunako tasnia ya filamu, Nollywood, Tonto Dikeh Sikukuu ya Krismasi mwaka huu imekuwa nzuri kwake baada ya mumewe kipenzi, Olanrewaju Churchill kumkabidhi Prado nyeupe kama zawadi ya sikukuu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto aliweka furaha yake kwa mashabiki kwa kutupia picha ya gari hilo na kumuita mumewe huyo KingKong.
“Ahsante kwa KingKong wangu kwa kunibariki gari hili ambalo ni jipya kabisa, Prado ya mwaka 2016. Mungu akubariki sana wewe mtu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YJZCgIUF2PFyXZnQJOYJe*IExjynRmF4n1EGLl1fAT-K6QJU66OjQH4L88rqONHtMSrqcZk57VhQ571oRDehaF/TontoDikehGlitzMagazine2013IssueBellaNaija02.jpg?width=650)
TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6hMvPJ2SPmHh8INCOXzmlmrYzm-bucm89lJt3EPR27JaxcrRJs8-G40eirWG7spUqmC-J1LLruQ2pY7DrEImrkY/IMG_9926.gif)
TONTO AVALISHWA PETE YA MILIONI 20
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUTnZbIjggh5db*cvnzv88C33-z*nTFZzyYl9OBaApWeqvWyj8kfGD4RmzHn-1JhcVyLy0*0-7mEThV6YHIbQIA3/denti2.jpg)
DENTI MIAKA 12 AOLEWA
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Aolewa na waume wawili
MKAZI wa Kijiji cha Kandete, Kata ya Kandete katika Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya, Suzana Osea (25), amezua tafrani baada ya kuolewa na wanaume wawili kijijini humo....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun1v8M7FutIr40l*e8NKyoZyH6j3bnIGIOtUnWlgzWqaU5g47ZrLPPfYjiBt4VsQS-oeXuBPTwR5nQcA4FFjTBuJ/Meninah.gif?width=650)
MENINAH AOLEWA KIMYAKIMYA