TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YJZCgIUF2PFyXZnQJOYJe*IExjynRmF4n1EGLl1fAT-K6QJU66OjQH4L88rqONHtMSrqcZk57VhQ571oRDehaF/TontoDikehGlitzMagazine2013IssueBellaNaija02.jpg?width=650)
Mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria Tonto Dikeh. TONTO DIKEH, mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, ambaye ni ‘mcharuko’ na ambaye alidaiwa kumchukua mume wa mtu hivi karibuni, hivi sasa amekuwa kama mhamasishaji ambapo anatoa ujumbe mbalimbali wa kuwatia matumaini mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram. Tonto ambaye ni mzaliwa wa Jimbo la River na aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza filamu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoOxdohUuXXkHVhuJHDpXO9BJOu07wiST1nS7ncl8NJG1-WQ7*XnASDa7yLy0P0eBYnDvUnmj1dGeg6Axnuw-Fw/tono.jpg?width=650)
TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88AxBvQ5w4N5Us6BzMjE75-y9BuhO6DT-rjumQOn2beLFLP7jr6sEWtoVagsKWOROWgTPs3da6eZcyNnL5gPhg3L2/tonot6666666.gif)
INASEMEKANA TONTO DIKEH AOLEWA NA TAYARI NI MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSklaMOpwvq8GS6JQ12PgnToYN21Zy34zKlmUR4HiCrCrighpg6pQxexu1kmSx9J2g*INVhIJLXuGBCiAgekiBux/TontoDikeh.jpg?width=650)
TONTO DIKEH AOLEWA, ABADILI JINA INSTAGRAM
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Tonto Dikeh apewa Prado na mumewe kama zawadi ya Krismasi
Toyota Prado
MSANII mwenye vituko kunako tasnia ya filamu, Nollywood, Tonto Dikeh Sikukuu ya Krismasi mwaka huu imekuwa nzuri kwake baada ya mumewe kipenzi, Olanrewaju Churchill kumkabidhi Prado nyeupe kama zawadi ya sikukuu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tonto aliweka furaha yake kwa mashabiki kwa kutupia picha ya gari hilo na kumuita mumewe huyo KingKong.
“Ahsante kwa KingKong wangu kwa kunibariki gari hili ambalo ni jipya kabisa, Prado ya mwaka 2016. Mungu akubariki sana wewe mtu...
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Maliki awatia shime makamanda wake
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
CADO BARO: Kwa wizi Your Number One Remix imeniongezea mashabiki, maadui
BETI Mhhh! za mwizi arobaini kwako zimeshatimiaaa, walinenaga zamaniii… Pili umeiba sana watu wameshakuchoka kwa voko voko fulaniii eeh! (Tatu huo wizi wako naomba uacheee…,kwani unashusha adhi ya jina jamaniii)...
9 years ago
Bongo509 Nov
Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake
![Amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Amini-300x194.jpg)
Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Atafuna Moyo wa adui wake A.Kusini