Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maliki awatia shime makamanda wake

Rais Maliki wa Iraq afika mpaka wa mapigano kuwapa moyo na kuwatia shime makamanda wake wa jeshi mjini Samarra

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE

Mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria Tonto Dikeh.
TONTO DIKEH, mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, ambaye ni ‘mcharuko’ na ambaye alidaiwa kumchukua mume wa mtu hivi karibuni, hivi sasa amekuwa kama mhamasishaji ambapo anatoa ujumbe mbalimbali wa kuwatia matumaini mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram. Tonto ambaye ni mzaliwa wa Jimbo la River na aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza filamu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malinzi awatia usongo Stars

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, juzi aliungana na wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, mjini Gaborone, Botswana kuwahamasisha, ikiwa ni maandalizi ya mechi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli awatia kiwewe CCM

BAADHI ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na sehemu ya viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduz

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Maliki aweza kushtakiwa

Waziri mkuu wa zamani wa Iraq huenda akachukuliwa hatua za kisheria kwa mchango wake katika vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakurd wazozana na Maliki

Ugomvi baina ya waziri mkuu wa Iraq na wanasiasa wa eneo la Kurd unazidi kuwa mkubwa huku Wakurd wakitaka waombwe msamaha

 

9 years ago

Mwananchi

Makonda awatia mbaroni maofisa 20 ardhi

Kasi ya uimarishaji utumishi wa umma imewakumba maofisa ardhi 20 wa Manispaa ya Kinondoni baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Paul Makonda kuwaweka rumande kwa saa sita kwa kuchelewa kuwasili katika ziara ya kutatua migogoro ya ardhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makonda awatia ganzi viongozi UVCCM

HATIMA ya Paul Makonda kuhusu kauli aliyoitoa dhidi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, itajulikana baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki afaa kumpisha mwengine

Msemaji wa chama tawala cha Iraq asema maoni yanazidi nguvu chamani kuwa waziri mkuu, Nouri al Maliki, afaa kung'atuka

 

11 years ago

GPL

DIAMOND AWATIA KIWEWE NELLY, CHRIS BROWN

Stori: Andrew Carlos na Musa Mateja Next level! Staa wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anafanya kweli kimataifa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameandika historia kwenye Tuzo za Black Entertainment Television (BET) 2014 huku akiwatia kiwewe mastaa wakubwa kama Cornell Iral Haynes ‘Nelly’, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ na wengine kibao. Diamond akisalimiana na Nelly. Tukio hilo lilijiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani