Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maliki afaa kumpisha mwengine

Msemaji wa chama tawala cha Iraq asema maoni yanazidi nguvu chamani kuwa waziri mkuu, Nouri al Maliki, afaa kung'atuka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa kumpisha mwekezaji

WANANCHI waliovamia eneo la Nyantorotoro Kata ya Kalangalala Wilaya ya Geita mkoani hapa wametakiwa kuondoka mara moja ili kumpisha mwekezaji mwenye leseni kuendeleza shughuli zake za kuponda kokoto. Agizo hilo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kikwete kumpisha Magufuli mapema

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais (mstaafu) Jakaya Kikwete, sasa anatajwa kuwa tayari

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Global Publishers

Mama Diamond kurudi Tandale, kumpisha Zari

zariii Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah.

KUNA madai kwamba, mama wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kasim ‘Sandra’ yupo katika maandalizi ya kuhamia kwenye makazi ya Tandale alikokuwa akiishi zamani ili kumpisha mwanye na mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah kwenye makazi ya Madale jijini Dar.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, mama huyo au bibi Tiffah amefikia uamuzi huo ili kuepusha lolote linaloweza kutokea kwa kukaa beneti na mkaza mwanaye kwa vile ulimi hauna mfupa...

 

10 years ago

Mwananchi

Shule ya msingi kuvunjwa wilayani Temeke kumpisha mwekezaji

Hofu imewagubika wazazi na walimu wa Shule ya Msingi Mji Mpya, iliyopo Temeke baada ya kuwapo kwa taarifa za kubomolewa kwa shule hiyo ili kupisha ujenzi wa majengo ya biashara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakurd wazozana na Maliki

Ugomvi baina ya waziri mkuu wa Iraq na wanasiasa wa eneo la Kurd unazidi kuwa mkubwa huku Wakurd wakitaka waombwe msamaha

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Maliki aweza kushtakiwa

Waziri mkuu wa zamani wa Iraq huenda akachukuliwa hatua za kisheria kwa mchango wake katika vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki awatia shime makamanda wake

Rais Maliki wa Iraq afika mpaka wa mapigano kuwapa moyo na kuwatia shime makamanda wake wa jeshi mjini Samarra

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Iraq hamtaki Nouri Maliki

Rais wa Iraq amemuudhi waziri mkuu wa sasa Nouri Maliki kwa kumwagiza mpinzani wake kuunda Serikali mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatimaye Al Maliki akubali kukaa pembeni

Waziri mkuu wa Iraq aliyeondolewa madarakani Nouri Al Maliki, amekubali kuondoka madarakani na kumpisha Haider al-Abadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani