Shule ya msingi kuvunjwa wilayani Temeke kumpisha mwekezaji
Hofu imewagubika wazazi na walimu wa Shule ya Msingi Mji Mpya, iliyopo Temeke baada ya kuwapo kwa taarifa za kubomolewa kwa shule hiyo ili kupisha ujenzi wa majengo ya biashara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Watakiwa kumpisha mwekezaji
WANANCHI waliovamia eneo la Nyantorotoro Kata ya Kalangalala Wilaya ya Geita mkoani hapa wametakiwa kuondoka mara moja ili kumpisha mwekezaji mwenye leseni kuendeleza shughuli zake za kuponda kokoto. Agizo hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
NBC yazipiga jeki shule sita za msingi wilayani Kilombero
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9w_VFdJUglQ/VHrFb2Kyb9I/AAAAAAAG0Tc/He2ThOly_Hw/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
MichuziMh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Jerry Silaa awasha umeme shule ya msingi Ipililo A wilayani Simiyu
Mlezi wa Mkoa wa Simiyu Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akikabidhi mchango wa shilingi milioni moja kwa Mwalimu Macha mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Ipililo A akipokea kwa niaba ya wananchi ili kuunganishwa na Umeme shuleni hapo.
10 years ago
Michuzimadarasa mawili ya shule ya msingi Loorng'oswani wilayani Simanjiro yakabidhiwa
10 years ago
GPLMADARASA MAWILI YA SHULE YA MSINGI LOORNG'OSWANI WILAYANI SIMANJIRO YAKABIDHIWA
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
11 years ago
MichuziMH. PINDA APOKEA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA SHULE YA MSINGI KAKAUNI,WILAYANI MLELE