Mh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli
Rais mstaafu wa awamu wa tatu Mh Benjamin Mkapa leo(jumatatu) amefanya ziara kumtembelea Shule ya msingi ya Manyara Ranchi inayofadhiliwa na shirika la kimataifa la uhifadhi wa wanyamapori la African wildlife foundation wilayani Monduli.
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
Rais mstaafu wa awamu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s72-c/unnamed+(14).jpg)
misaada yamiminika shule ya Irkisongo wilayani monduli iliyounguliwa na mabweni yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-ys404UjqV-I/U9GHO6ASJHI/AAAAAAAF550/nORQAW_XBm8/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCho394lD7Y/U9GHOl6NwLI/AAAAAAAF55g/eHigeqCM66E/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-szQqurT17Nc/U9GHOwxHDuI/AAAAAAAF55k/qWzIB94PPHs/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I9gClq99hqU/U9GHP2VCzpI/AAAAAAAF55s/Vdz4g725_GE/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Arusha(CCM) Namelok...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s72-c/20140723_084815_resized.jpg)
Bweni la shule ya Sekondari Erikisongo Wilayani Monduli lateketea kwa moto leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H3iL1BbWqp4/U8-VogWUAsI/AAAAAAAF5Gc/4knu8KMuk8g/s1600/20140723_084815_resized.jpg)
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ilitokea wakati wanafunzi wote wako darasani.
Hakuna mtu yoyote aliyedhurika lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea. Kikosi Cha zimamoto kutoka Arusha kilifika wakati tayari mabweni hayo yameshateketea.
Mbunge wa Jimbo la Monduli Mh Edward Lowassa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s72-c/unnamed+(26).jpg)
CRDB yatoa mchango wa Mil. 3 kusaidia shule iliyopata janga la moto,wilayani Monduli
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-8O132co40/U9Jhrl5yIDI/AAAAAAAF6RU/nNAYE26Giiw/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite mkoani manyara yazindua eneo na majengo yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GrfS2d_DezQ/U9QojYzgUhI/AAAAAAAF6w4/QZlmP-M4JdU/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Shule ya msingi kuvunjwa wilayani Temeke kumpisha mwekezaji
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
NBC yazipiga jeki shule sita za msingi wilayani Kilombero
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9w_VFdJUglQ/VHrFb2Kyb9I/AAAAAAAG0Tc/He2ThOly_Hw/s1600/unnamed%2B(21).jpg)