shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite mkoani manyara yazindua eneo na majengo yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Shule ya chekechea na msingi ya Blue Tanzanite iliyopo Kata ya Endiamtu, Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyoanzishwa mwaka 2008 na yenye wanafunzi 360, yazindua eneo lake na majengo yake. Mkurugenzi wa shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite iliyopo Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, Raphael Alex Ombade akizungumza kwenye sherehe za shule hiyo.
Padri Pastory Kijuu wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Chekechea, shule za msingi waletewa shindano
NA ASIFIWE GEORGE
SHINDANO jipya la ‘Graph Game’ litakalochezwa kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuleta tija na mabadiliko na maendeleo katika jamii kwa vizazi vijavyo limezinduliwa nchini.
Shindano hilo litakalowashirikisha watoto kuanzia chekechea hadi shule ya msingi, mwisho wa usajili wake ni Oktoba 22 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya simu ya Tigo, Diego Gutierez, ambao ndio waandaaji wa shindano hilo kwa kushirikiana na Taasisi ya Reach for Change, alisema lengo la shindano...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/fc0BX5C4dKg/default.jpg)
JPM: CORONA IMEISHA TUTAFUNGUA SHULE ZA MSINGI NA CHEKECHEA HIVI KARIBUNI (+VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/Screen-Shot-2020-06-05-at-6.22.22-AM-660x400.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS MAGUFULI ASEMA TUMEISHINDA CORONA, SHULE ZA CHEKECHEA,MSINGI MBIONI KUFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s400/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli amesema kwamba Corona imepungua kwa kiasi kikubwa nchini na hivyo shule za chekechekea na shule za msingi siku za hivi karibuni.
Ametoa kauli hiyo leo Juni 5 Mjini Dodoma wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) uliofanyika Uwanja wa Jamhuri na kuhudhuria na viongozi wa ngazi mbalimbali Serikalini pamoja na walimu wa kada zote.
Dk.Magufuli ametumia nafasi hiyo kueleza kuwa anamshukuru Mungu na anawashukuru walimu...
11 years ago
MichuziTANZANITE ONE WAKABIDHI MSAADA WA SHILINGI MILIONI 42 KWENYE SHULE YA MSINGI NEW VISION
11 years ago
MichuziMh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w-KH5NPuDvY/VBlMJMHfxxI/AAAAAAAGkBg/oadxwt8GWxU/s72-c/pic%2B1.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano Mbulu Mkoani Manyara
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-KH5NPuDvY/VBlMJMHfxxI/AAAAAAAGkBg/oadxwt8GWxU/s1600/pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wGTELztxugk/VBlMJrvt4PI/AAAAAAAGkBk/IcDcLBbvrvw/s1600/Pic%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU NANE MKOANI SINGIDA,KESHO KUELEKEA MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s1600/15.jpg)