Chekechea, shule za msingi waletewa shindano
NA ASIFIWE GEORGE
SHINDANO jipya la ‘Graph Game’ litakalochezwa kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuleta tija na mabadiliko na maendeleo katika jamii kwa vizazi vijavyo limezinduliwa nchini.
Shindano hilo litakalowashirikisha watoto kuanzia chekechea hadi shule ya msingi, mwisho wa usajili wake ni Oktoba 22 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya simu ya Tigo, Diego Gutierez, ambao ndio waandaaji wa shindano hilo kwa kushirikiana na Taasisi ya Reach for Change, alisema lengo la shindano...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS MAGUFULI ASEMA TUMEISHINDA CORONA, SHULE ZA CHEKECHEA,MSINGI MBIONI KUFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s400/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli amesema kwamba Corona imepungua kwa kiasi kikubwa nchini na hivyo shule za chekechekea na shule za msingi siku za hivi karibuni.
Ametoa kauli hiyo leo Juni 5 Mjini Dodoma wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) uliofanyika Uwanja wa Jamhuri na kuhudhuria na viongozi wa ngazi mbalimbali Serikalini pamoja na walimu wa kada zote.
Dk.Magufuli ametumia nafasi hiyo kueleza kuwa anamshukuru Mungu na anawashukuru walimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/fc0BX5C4dKg/default.jpg)
JPM: CORONA IMEISHA TUTAFUNGUA SHULE ZA MSINGI NA CHEKECHEA HIVI KARIBUNI (+VIDEO)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/Screen-Shot-2020-06-05-at-6.22.22-AM-660x400.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite mkoani manyara yazindua eneo na majengo yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GrfS2d_DezQ/U9QojYzgUhI/AAAAAAAF6w4/QZlmP-M4JdU/s1600/unnamed+(2).jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Sep
PLACIDIA KAMFINYE : Mwanzilishi wa shule za chekechea Rukwa
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mwana mfalme George aingia shule ya chekechea
10 years ago
Michuzi29 Nov
MAHAFALI YA CHEKECHEA SHULE YA SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA NA SIKU YA WAZAZI
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Mkuu wa shule hiyo pia alitangaza nafasi za masomo kuanzia darasa la kwanza hadi la tatu wanaotokea kiswahili medium schools na la tano pia wakati...
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
WASTARA Awa Mgeni Rasmi Kwenye Mahafari ya Shule ya Chekechea
Mwigizaji na Muongozaji wa filamu hapa nchini Wastara Juma, Siku ya jana alialikwa kama mgeni rasmi kwenye mahafari ya shule RUMNA NUSR S iliyopo mlandizi, mkoani pwani.
“Niliakwa kma mgeni rasmi katika shule ya watoto wadogo RUMNAS NUSR SCHOOL(DAY CARE )iliyopo mlandizi nimefurahia heshima niliyopewa sababu mim pia ni mwenyeji wa mji huo na nilisoma uko lakini kikubwa ni heshima niliyonayo kwa watu wa rika zote na kumheshim kila anayeniheshim na kujua umuhimu wangu nimefurahia pia kuwa...
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Mahafali ya tatu ya shule ya awali ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone yafanyika jijini dar
Wahitimu wa shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone, Bi Usia Nkhoma Ledama akizungumza jambo wakati wa mahafali ya tatu ya shule hiyo.
Mwalimu Debby Ndulla(wa kwanza kushoto) akiwatambulisha walimu wa Shule ya Chekechea ya Ojays Kiddies Zone ambao ni Mwalimu Tatu(wa pili kutoka kushoto) akifuatiwa na Mwalimu Revina(katikati), Mwalimu Doroth(wa pili kutoka kulia) pamoja na Mwalimu Aika(kulia).