JPM: CORONA IMEISHA TUTAFUNGUA SHULE ZA MSINGI NA CHEKECHEA HIVI KARIBUNI (+VIDEO)
![](https://img.youtube.com/vi/fc0BX5C4dKg/default.jpg)
Rais Magufuli leo Dodoma akihutubia Chama cha Walimu “Umekuja ugonjwa wa corona wakawa wanasema kwamba maiti zitazagaa barabarani hasa Afrika, wakageuka watabiri, walishindwa kuelewa kuwa Mungu wetu ana nguvu, tuliomba siku tatu, corona imekwisha, Waziri wa Afya juzi anasema DSM palikuwa na wagonjwa wanne, ila uzushi utatolewa wa kila aina”.“Corona imekwisha ndio maana hata Mabarakoa hakuna hata leo tunaonana tu hapa kawaida, ndio maana nilikuwa namshangaa Spika Ndugai akiwa Bungeni yupo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS MAGUFULI ASEMA TUMEISHINDA CORONA, SHULE ZA CHEKECHEA,MSINGI MBIONI KUFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s400/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli amesema kwamba Corona imepungua kwa kiasi kikubwa nchini na hivyo shule za chekechekea na shule za msingi siku za hivi karibuni.
Ametoa kauli hiyo leo Juni 5 Mjini Dodoma wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) uliofanyika Uwanja wa Jamhuri na kuhudhuria na viongozi wa ngazi mbalimbali Serikalini pamoja na walimu wa kada zote.
Dk.Magufuli ametumia nafasi hiyo kueleza kuwa anamshukuru Mungu na anawashukuru walimu...
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Chekechea, shule za msingi waletewa shindano
NA ASIFIWE GEORGE
SHINDANO jipya la ‘Graph Game’ litakalochezwa kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuleta tija na mabadiliko na maendeleo katika jamii kwa vizazi vijavyo limezinduliwa nchini.
Shindano hilo litakalowashirikisha watoto kuanzia chekechea hadi shule ya msingi, mwisho wa usajili wake ni Oktoba 22 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya simu ya Tigo, Diego Gutierez, ambao ndio waandaaji wa shindano hilo kwa kushirikiana na Taasisi ya Reach for Change, alisema lengo la shindano...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite mkoani manyara yazindua eneo na majengo yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-dco6xnIJEJE/U9QojWLyMYI/AAAAAAAF6w8/vX7l5BRyFWA/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GrfS2d_DezQ/U9QojYzgUhI/AAAAAAAF6w4/QZlmP-M4JdU/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
Bongo511 Sep
Picha: Izzo B kuachia video ya ‘Walalahoi’ hivi karibuni
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio)
Jana December 23 2015 gossic cop wa show ya XXL #CloudsFM, Soudy Brown alifanikiwa kumpata Alikiba… maswali ya Soudy kwa Alikiba ilikuwa jinsi alivyopokea maneno ya Ben Pol kwenye post ya Twitter ambayo alimtaja !! Alikiba alisema hana neno na wala hana tatizo na Ben Pol, kwa hiyo hata kilichoandikwa na Ben Pol alikichukulia poa […]
The post Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies01 May
9 years ago
Mwananchi27 Sep
PLACIDIA KAMFINYE : Mwanzilishi wa shule za chekechea Rukwa
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mwana mfalme George aingia shule ya chekechea
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
WASTARA Awa Mgeni Rasmi Kwenye Mahafari ya Shule ya Chekechea
Mwigizaji na Muongozaji wa filamu hapa nchini Wastara Juma, Siku ya jana alialikwa kama mgeni rasmi kwenye mahafari ya shule RUMNA NUSR S iliyopo mlandizi, mkoani pwani.
“Niliakwa kma mgeni rasmi katika shule ya watoto wadogo RUMNAS NUSR SCHOOL(DAY CARE )iliyopo mlandizi nimefurahia heshima niliyopewa sababu mim pia ni mwenyeji wa mji huo na nilisoma uko lakini kikubwa ni heshima niliyonayo kwa watu wa rika zote na kumheshim kila anayeniheshim na kujua umuhimu wangu nimefurahia pia kuwa...