Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakurd wazozana na Maliki

Ugomvi baina ya waziri mkuu wa Iraq na wanasiasa wa eneo la Kurd unazidi kuwa mkubwa huku Wakurd wakitaka waombwe msamaha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wachimbaji, halmashauri ya jiji wazozana

KUANZA kutumika kwa sheria inayowataka wachimbaji wa mawe, mchanga na kokoto kuwa na kibali cha kufanya shughuli hiyo, kumezua mzozo. Mzozo huo ni kati ya wachimbaji wadogo mkoani hapa na halmashauri ya jiji. Juzi takribani wachimbaji wadogo wagogo 2,000 wakiwa na madereva wa malori yanayobeba mchanga, kokoto na mawe, waliandamana hadi eneo la Uhindini, zilipo ofisi za halmashauri ya jiji na kupeleka malalamiko yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waendeleza mapigano,Kabone

Mapigano makali ya kurushiana risasi yanaendelea kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa Kikrud nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kuwapa Wakurd silaha

Ujerumani inatarajia kulitumia jeshi la Wakurd wa Iraq silaha kupambana na wapiganaji wa kiislamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waukomboa mji wa Tel Abyad, Syria

Wapiganaji wa Kikurd wameutwaa mji wa Tel Abyad wa Syria kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Maliki aweza kushtakiwa

Waziri mkuu wa zamani wa Iraq huenda akachukuliwa hatua za kisheria kwa mchango wake katika vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki afaa kumpisha mwengine

Msemaji wa chama tawala cha Iraq asema maoni yanazidi nguvu chamani kuwa waziri mkuu, Nouri al Maliki, afaa kung'atuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatimaye Al Maliki akubali kukaa pembeni

Waziri mkuu wa Iraq aliyeondolewa madarakani Nouri Al Maliki, amekubali kuondoka madarakani na kumpisha Haider al-Abadi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki awatia shime makamanda wake

Rais Maliki wa Iraq afika mpaka wa mapigano kuwapa moyo na kuwatia shime makamanda wake wa jeshi mjini Samarra

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Iraq hamtaki Nouri Maliki

Rais wa Iraq amemuudhi waziri mkuu wa sasa Nouri Maliki kwa kumwagiza mpinzani wake kuunda Serikali mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani