Wachimbaji, halmashauri ya jiji wazozana
KUANZA kutumika kwa sheria inayowataka wachimbaji wa mawe, mchanga na kokoto kuwa na kibali cha kufanya shughuli hiyo, kumezua mzozo. Mzozo huo ni kati ya wachimbaji wadogo mkoani hapa na halmashauri ya jiji. Juzi takribani wachimbaji wadogo wagogo 2,000 wakiwa na madereva wa malori yanayobeba mchanga, kokoto na mawe, waliandamana hadi eneo la Uhindini, zilipo ofisi za halmashauri ya jiji na kupeleka malalamiko yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Halmashauri ya Jiji Dar ‘yazinduka usingizini’
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Wauza magazeti walalamikia halmashauri ya jiji
11 years ago
Habarileo12 Dec
CCM waibana Halmashauri ya Jiji Arusha
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha imeuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha miradi yote iliyokuwa imeanza kujengwa inakamilika kwa wakati bila ya kuwa na visingizio.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e4DapssfrDg/XkV-Z7B2X0I/AAAAAAALdTM/Vp0NfGysZm8ld52_TsHbcwLOzF5P7NQdACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_8785-2048x1159.jpg)
MAJALIWA: MUUNDO WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA UKAMILISHWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-e4DapssfrDg/XkV-Z7B2X0I/AAAAAAALdTM/Vp0NfGysZm8ld52_TsHbcwLOzF5P7NQdACLcBGAsYHQ/s640/PMO_8785-2048x1159.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma baada ya kuuzindua kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Februari 13, 2020. Wengine pichani kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Spika wa Bunge Job Ndugai na kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tixon Nzunda (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/861feb0d-e49e-43eb-910d-243bacd1c137.jpg)
Waziri Mkuu,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KZfz97sadqk/XkWDC7U61jI/AAAAAAAA8eA/D_Sf08CaSUsxsddcQG25654WsT6nePXKACNcBGAsYHQ/s72-c/PMO_8785-1536x869.jpg)
WAZIRI MKUU: MUUNGO WA HALMASHAURI JIJI LA DODOMA UMEKAMILIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZfz97sadqk/XkWDC7U61jI/AAAAAAAA8eA/D_Sf08CaSUsxsddcQG25654WsT6nePXKACNcBGAsYHQ/s640/PMO_8785-1536x869.jpg)
Pia, Waziri Mkuu ameitaka Halmashauri ya Jiji la Dodoma iongeze kasi ya upimaji wa viwanja pamoja na kusimamia kikamilifu udhibiti wa uendelezaji holela wa makazi. “Hatuhitaji kuona Jiji la Dodoma likiwa na makazi yasiyopimwa na holela.”
Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo (Alhamisi, Februari 13, 2020) wakati akizindua...
11 years ago
GPLHALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r0XJ4IvXKt4/UxCxlI0o9qI/AAAAAAAATFA/qKtytGCyRRc/s72-c/Sarfrenje3937.jpg)
HALMASHAURI YA JIJI : JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?
Licha ya usumbufu na kero hiyo, eneo hilo kutokana na msongamano wa watu wengi sana, limekuwa ndio maskani kwa vibaka ambao hujipatia kipato chao bila hata ya jasho kwa kujichanganya humo kama raia wa kawaida na kufanya wizi.
Wakizungumza watumiaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m-tzBKQFU7w/Xt_ziSHaqTI/AAAAAAALtP8/Z5DJZDGdhpwPIg_47T6xE-bb_rp-x14twCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATOA MIL.626 KWA VIKUNDI
Na.Ashura Mohamed -Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imekabidhidi Hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 626,kwa vikundi 100 vya Mikopo kwa makundi matatu ya Wanawake,Vijana na watu wenye Walemavu.
Akikabidhi Hundi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro alisema fedha hizo ni kutoka Mapato ya ndani ambapo lengo ni kuwawezesha wananchi, kiuchumi ili kutimiza Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano.
Daqqaro alisema kuwa serikali ya Sasa imekuwa ikisisitiza uwekezaji kwenye sekta ya Viwanda...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
WWF yaijengea uwezo halmashauri ya jiji la Arusha kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-hZAVCEeh5ZU/VmA4x6vDPMI/AAAAAAAAFFs/XhKh4lXYyoY/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gXWwSp8uxk4/VmA41hq_gMI/AAAAAAAAFF0/MlnqCTXCtWI/s640/2.jpg)