Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJALIWA: MUUNDO WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA UKAMILISHWE






Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma baada ya kuuzindua kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Februari 13, 2020. Wengine pichani kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Spika wa Bunge Job Ndugai na kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tixon Nzunda (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA MPANGO KABAMBE WA JIJI LA DODOMA


Charles James, Michuzi TV

JIJI la Dodoma limetakiwa kuhakikisha linapima viwanja vyake vyote na kuzuia ujengaji holela wa makazi ya watu ili kulifanya Jiji hilo kuwa na mandhari ya kisasa kama yalivyo majiji makubwa duniani.

Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa leo jijini Dodoma wakati akizindua mpango kabambe wa Jiji la Dodoma katika hafla iliyohudhuriwa pia na Spika wa Bunge, Mawaziri na Manaibu pamoja na watendaji wengine wa Serikali.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe Majaliwa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU: MUUNGO WA HALMASHAURI JIJI LA DODOMA UMEKAMILIKA

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Ofisi ya Rais–TAMISEMI ishirikiane na mamlaka nyingine, zihakikishe zinakamilisha mchakato wa muundo wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Pia, Waziri Mkuu ameitaka Halmashauri ya Jiji la Dodoma iongeze kasi ya upimaji wa viwanja pamoja na kusimamia kikamilifu udhibiti wa uendelezaji holela wa makazi. “Hatuhitaji kuona Jiji la Dodoma likiwa na makazi yasiyopimwa na holela.”

Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo (Alhamisi, Februari 13, 2020) wakati akizindua...

 

9 years ago

Michuzi

JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE MHE. MAJALIWA KASSIM MAJALIWA LILIPOWASILISHWA BUNGENI DODOMA LEO


 Mpambe wa Rais Kanali Mkeremi akiingia bungeni mjini Dodoma leo asubuhi akiwa na bahasha yenye jina la Waziri Mkuu mteule lililowasilishwa  na  Rais Dkt.John Pombe Joseph Magufuli ili kupigiwa kura na hatimaye kuridhiwa na wabunge,  Mpambe wa Rais Kanali Mkeremi akimkabidhi Spika Job Ndugai bahasha yenye jina la Waziri Mkuu mteule lililowasilishwa  na  Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ili kupigiwa kura na hatimaye kuridhiwa na wabunge, Spika Job Ndugai akiinua bahasha kabla ya kusoma...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA ASAFIRI KWA GARI TOKA DODOMA KWENDA DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa na mkewe Mama Mary Majaliwa wakisalimiana na viongozi wa mkoa wa Morogoro wakati waliposimama kwa muda mjini  Morogoro wakiwa njiani kuelekea Dar es salaam wakitoka Dodoma kwa gari leo Novemba 22, 2015. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajabu Rutengwe (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

GPL

KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO

NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia.
Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu.
Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA DODOMA, MKURUGENZI HALMASHAURI YA TEMEKE JIJINI DODOMA



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma.Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Ndg. Matuka KessySpika wa Bunge, Mhe....

 

10 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka halmashauri kukamilisha madarasa

Kassim MajaliwaNAIBU Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Kassim Majaliwa ametaka halmashauri kushirikiana na wadau wote wa elimu, kukamilisha majengo na kuandaa mazingira ya kuwapokea wanafunzi wote waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza mwaka 2015.

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.Meneja wa Wakala wa Barabara-TANROADS Mkoa wa Dodoma mhandisi Leonard Chimagu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya barabara inayotekelezwa na TANROADS...

 

11 years ago

Habarileo

Wachimbaji, halmashauri ya jiji wazozana

KUANZA kutumika kwa sheria inayowataka wachimbaji wa mawe, mchanga na kokoto kuwa na kibali cha kufanya shughuli hiyo, kumezua mzozo. Mzozo huo ni kati ya wachimbaji wadogo mkoani hapa na halmashauri ya jiji. Juzi takribani wachimbaji wadogo wagogo 2,000 wakiwa na madereva wa malori yanayobeba mchanga, kokoto na mawe, waliandamana hadi eneo la Uhindini, zilipo ofisi za halmashauri ya jiji na kupeleka malalamiko yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani