KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO
![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eDyIvHOwXlynEeW7X75t0XekxXRb5TW0947Dp5W1FvqEwUhIOWLphpiGUGd*90yg*vdiV5YnV7VxLgyKUigi9*/juliasi.jpg?width=650)
NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia. Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu. Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Askofu: Wananchi wataamua muundo wa serikali
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kuwa maamuzi ya mwisho ya kuchagua muundo wa serikali...
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe afichua ya Pemba kuhusu muundo wa serikali
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Asha Mohammed Omar amesema wananchi wa Pemba, visiwani Zanzibar walitaka serikali mbili na ‘kaserikali kadogo ka nkataba’.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Msomi ashauri muundo wa serikali mbili ulioboreshwa
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Kiongozi APPT ataka mjadala mkali muundo wa Serikali
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Muundo wa Tanesco utazamwe upya
9 years ago
Habarileo21 Aug
SUA yafanya mageuzi ya muundo
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kipo katika mageuzi ya muundo wake kutokana na kuandaliwa kwa mpango utakaoshusha madaraka katika ngazi za chini.
11 years ago
Habarileo01 Apr
Muundo Muungano kujulikana Ijumaa
MUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.