Askofu: Wananchi wataamua muundo wa serikali
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kuwa maamuzi ya mwisho ya kuchagua muundo wa serikali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA LATIKISA UWANJA WA TAIFA, MEMBE ASEMA WANANCHI WATAAMUA SERIKALI IPI WANAITAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s1600/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s1600/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA LATIKISA UWANJA WA TAIFA, MEMBE ASEMA WANANCHI WATAAMUA SERIKALI IPI WANAITAKA
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe aliyemuakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Tamasha la Pasaka lililofanyika jana kwenye u8wanja wa Taifa akizungumza na mashabiki mbalimbali waliojitokeza katika tamasha hilo na kuwaomba kuwa watulivu wakati huu wa mchakato wa katiba mpya akisema uamuzi mtautoa nyini ni serikali gani mnaiihitaji iwe moja, Tatu au Mbili nyinyi ndiyo mtaamua na sisi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eDyIvHOwXlynEeW7X75t0XekxXRb5TW0947Dp5W1FvqEwUhIOWLphpiGUGd*90yg*vdiV5YnV7VxLgyKUigi9*/juliasi.jpg?width=650)
KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO
NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia.
Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu.
Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga ameshauri Serikali kupitisha Katiba ambayo itatenda haki kwa Watanzania kwa kuzingatia kanuni na hekima, badala ya kuingiza matakwa ya kila mtu.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Msomi ashauri muundo wa serikali mbili ulioboreshwa
>Profesa Robert Msanga wa Chuo Kikuu kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (Muccobs) amependekeza muundo wa Muungano wa serikali mbili uendee kutumika isipokuwa uboreshwe.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe afichua ya Pemba kuhusu muundo wa serikali
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Asha Mohammed Omar amesema wananchi wa Pemba, visiwani Zanzibar walitaka serikali mbili na ‘kaserikali kadogo ka nkataba’.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Kiongozi APPT ataka mjadala mkali muundo wa Serikali
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, ameshauri kuwe na mjadala mkali na wenye hisia kali kuhusu muundo wa Serikali ya Jamhuri.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania