TAMASHA LA PASAKA LATIKISA UWANJA WA TAIFA, MEMBE ASEMA WANANCHI WATAAMUA SERIKALI IPI WANAITAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s1600/1.jpg)
 Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe aliyemuakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Tamasha la Pasaka lililofanyika jana kwenye u8wanja wa Taifa akizungumza na mashabiki mbalimbali waliojitokeza katika tamasha hilo na kuwaomba kuwa watulivu wakati huu wa mchakato wa katiba mpya akisema uamuzi mtautoa nyini ni serikali gani mnaiihitaji iwe moja, Tatu au Mbili nyinyi ndiyo mtaamua na sisi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA LATIKISA UWANJA WA TAIFA, MEMBE ASEMA WANANCHI WATAAMUA SERIKALI IPI WANAITAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s1600/1.jpg)
11 years ago
Dewji Blog21 Apr
Tamasha la Pasaka latikisa Uwanja wa Taifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjYPtJKecfI/U1S5tQ-EmJI/AAAAAAABels/oKjWMF5lR3A/s1600/1.jpg)
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe aliyemuakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Tamasha la Pasaka lililofanyika jana kwenye u8wanja wa Taifa akizungumza na mashabiki mbalimbali waliojitokeza katika tamasha hilo na kuwaomba kuwa watulivu wakati huu wa mchakato wa katiba mpya akisema uamuzi mtautoa nyini ni serikali gani mnaiihitaji iwe moja, Tatu au Mbili nyinyi ndiyo mtaamua na sisi tutakipitisha kile mlichokiamua, Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Ni mtikisiko Tamasha la Pasaka Jumapili Uwanja wa Taifa
UHONDO wa Tamasha la kimataifa la muziki wa Injili la Pasaka ambalo limekuwa likifanyika kila mwaka tangu mwaka 2000 chini ya Kampuni ya Msama Promotions Ltd ya jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Ni mafuriko ya baraka Tamasha la Pasaka leo Uwanja wa Taifa
LEO ni siku ya shangwe kuu kwa Wakristo duniani kote kutokana na ushindi wa Yesu Kristo dhidi ya dhambi baada ya kuyashinda mauti kupitia ufufuko wake, kwani kwa kupigwa kwake...
11 years ago
MichuziViingilio Tamasha la Pasaka hadharani,kufanyika uwanja wa Taifa
10 years ago
MichuziWAIMBAJI KUTOKA UINGEREZA WATUA KUNOGESHA TAMASHA LA PASAKA JUMAPILI UWANJA WA TAIFA.
Kelechi, akipokea ua kutoka kwa mwakilishi wa Kampuni ya Msama Promotions, Nyakwesy Mujaya, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam le kwa ajili ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka. Kulia ni Mwenyekiti wa tamasha hilo, Alex Msama.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Askofu: Wananchi wataamua muundo wa serikali
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutambua kuwa maamuzi ya mwisho ya kuchagua muundo wa serikali...
10 years ago
MichuziMEMBE MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
10 years ago
MichuziMH. MEMBE KUWA MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Nje na...