SUA yafanya mageuzi ya muundo
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kipo katika mageuzi ya muundo wake kutokana na kuandaliwa kwa mpango utakaoshusha madaraka katika ngazi za chini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eDyIvHOwXlynEeW7X75t0XekxXRb5TW0947Dp5W1FvqEwUhIOWLphpiGUGd*90yg*vdiV5YnV7VxLgyKUigi9*/juliasi.jpg?width=650)
KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO
NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia.
Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu.
Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Machumu: Sua imenivusha
Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu amekishukuru Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kumvusha kitaaluma hatua iliyomwezesha kuwa katika nafasi aliyonayo sasa.
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Muundo wa Tanesco utazamwe upya
Kwa muda wa wiki moja kuanzia Agosti Mosi hadi juzi, wakazi wanaotumia nishati ya umeme katika wilaya za Kisarawe na Ilala katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani walikabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa umeme baada ya transfoma iliyopo Gongo la Mboto inayosambaza umeme katika maeneo hayo kupata hitilafu.
11 years ago
Habarileo01 Apr
Muundo Muungano kujulikana Ijumaa
MUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.
10 years ago
BBCSwahili05 May
Masumbwi Tanzania yasua sua
Mashindano ya taifa ya masumbwi nchini Tanzania huenda yakasogezwa mbele mpaka mwezi July.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Muundo wa Muungano waipasua CWT
Msimamo wa Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Honoratha Chitanda kuunga mkono serikali moja ndani ya Bunge Maalumu la Katiba huenda ukamgharimu.
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na vikao vya kamati zake, sintofahamu juu ya nini hatima ya mawazo ya wananchi kama yalivyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba inaendelea kuibuka.
9 years ago
Mwananchi28 Aug
‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’
Serikali imetakiwa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiuchumi ili uendane na maisha halisi ya Watanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania