Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUA yafanya mageuzi ya muundo

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kipo katika mageuzi ya muundo wake kutokana na kuandaliwa kwa mpango utakaoshusha madaraka katika ngazi za chini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO

NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia.
Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu.
Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

10 years ago

Mwananchi

Machumu: Sua imenivusha

Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu amekishukuru Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kumvusha kitaaluma hatua iliyomwezesha kuwa katika nafasi aliyonayo sasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Muundo wa Tanesco utazamwe upya

Kwa muda wa wiki moja kuanzia Agosti Mosi hadi juzi, wakazi wanaotumia nishati ya umeme katika wilaya za Kisarawe na Ilala katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani walikabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa umeme baada ya transfoma iliyopo Gongo la Mboto inayosambaza umeme katika maeneo hayo kupata hitilafu.

 

11 years ago

Habarileo

Muundo Muungano kujulikana Ijumaa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Masumbwi Tanzania yasua sua

Mashindano ya taifa ya masumbwi nchini Tanzania huenda yakasogezwa mbele mpaka mwezi July.

 

11 years ago

Mwananchi

Muundo wa Muungano waipasua CWT

Msimamo wa Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Honoratha Chitanda kuunga mkono serikali moja ndani ya Bunge Maalumu la Katiba huenda ukamgharimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na vikao vya kamati zake, sintofahamu juu ya nini hatima ya mawazo ya wananchi kama yalivyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba inaendelea kuibuka.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’

Serikali imetakiwa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiuchumi ili uendane na maisha halisi ya Watanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani