Masumbwi Tanzania yasua sua
Mashindano ya taifa ya masumbwi nchini Tanzania huenda yakasogezwa mbele mpaka mwezi July.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Jul
10 years ago
Vijimambo19 Mar
MPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA 28/3/2015
![](https://1.bp.blogspot.com/-r0CQbktzLh0/VQrDoPijvkI/AAAAAAAAHCo/9BUQDY8MHDw/s1600/11073562_836973369682141_7670068943810083201_n.jpg)
Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo CCM Tandale Manzese mpambano uho wa raundi kumi wenye upinzani wa hali ya juu utasindikizwa na mabondia mbalimbali kutoka katika kambi tofauti
ambapo bondia Ibrahimu Tamba atapambana na George Dimoso na Vicent Mbilinyo kutoka kwa 'Super D Boxing Coach' atapambana na Yusufu Mkari na kasimu Gamboo...
9 years ago
Bongo507 Oct
Pacquiao kustaafu masumbwi mwakani
Bondia wa Ufilipino, Manny Pacquiao ametangaza Jumatano hii kuwa anaweza kustaafu masumbwi mwakani baada ya pambano moja la mwisho ili kujikita kwenye siasa zaidi na pengine kuwamia nafasi ya useneta. Pacquaio aliyeokoka, amedai kuwa amechukua ushauri kutoka kwa Mungu. “Nadhani nipo tayari kustaafu. Nimekuwepo kwenye ndondi kwa miaka 20,” alisema Pacquiao, 36 kwenye mahojiano na […]
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s72-c/unnamed+(87).jpg)
MPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s1600/unnamed+(87).jpg)
11 years ago
Michuzi09 Feb
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Machumu: Sua imenivusha
Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu amekishukuru Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kumvusha kitaaluma hatua iliyomwezesha kuwa katika nafasi aliyonayo sasa.
10 years ago
MichuziRefarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion afunga ndoa
Ally Bakari Champion akiozeshwa
9 years ago
Habarileo21 Aug
SUA yafanya mageuzi ya muundo
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kipo katika mageuzi ya muundo wake kutokana na kuandaliwa kwa mpango utakaoshusha madaraka katika ngazi za chini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania