Pacquiao kustaafu masumbwi mwakani
Bondia wa Ufilipino, Manny Pacquiao ametangaza Jumatano hii kuwa anaweza kustaafu masumbwi mwakani baada ya pambano moja la mwisho ili kujikita kwenye siasa zaidi na pengine kuwamia nafasi ya useneta. Pacquaio aliyeokoka, amedai kuwa amechukua ushauri kutoka kwa Mungu. “Nadhani nipo tayari kustaafu. Nimekuwepo kwenye ndondi kwa miaka 20,” alisema Pacquiao, 36 kwenye mahojiano na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
9 years ago
Bongo506 Jan
Majibu ya bondia Manny Pacquiao kuhusu kustaafu ngumi
![(FILES) In this September 3, 2014 file photo, Filipino boxing star Manny Pacquiao gestures on arrival for a press conference with fellow boxer Chris Algieri in Los Angeles, California. Pacquiao called his boxing showdown with Floyd Mayweather "the fight of my life" as he got down to work pounding the streets and gym in Los Angeles. The eight-division world champion cranked into serious preparations for the May 2 fight after flying in for his training camp from his native Philippines. On March 2, 2015, Pacquiao ran two miles (3.2 km) and shadow-boxed for two rounds, followed by abdominal work and breakfast of steamed rice, scrambled egg, fish and chicken broth. AFP PHOTO / FREDERIC J. BROWN / FILESFREDERIC J. BROWN/AFP/Getty Images](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/pacquiaotax_3249079b-300x194.jpg)
Mcheza ngumi raia wa Ufilipino ambaye amejizolea umaarufu duniani Manny Pacquiao amesema kwasasa anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley.
Bondia huyo tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa nia yake ni kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi kubwa ya kuiongoza nchi hiyo.
Pacquiao atapanda ulingoni kupambana na bondia huyo kutoka America kwa mara ya tatu April 9, 2016 hii...
10 years ago
BBCSwahili05 May
Masumbwi Tanzania yasua sua
10 years ago
Vijimambo19 Mar
MPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA 28/3/2015
![](https://1.bp.blogspot.com/-r0CQbktzLh0/VQrDoPijvkI/AAAAAAAAHCo/9BUQDY8MHDw/s1600/11073562_836973369682141_7670068943810083201_n.jpg)
Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo CCM Tandale Manzese mpambano uho wa raundi kumi wenye upinzani wa hali ya juu utasindikizwa na mabondia mbalimbali kutoka katika kambi tofauti
ambapo bondia Ibrahimu Tamba atapambana na George Dimoso na Vicent Mbilinyo kutoka kwa 'Super D Boxing Coach' atapambana na Yusufu Mkari na kasimu Gamboo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s72-c/unnamed+(87).jpg)
MPAMBANO WA MASUMBWI: SULEIMAN TALL, DULA MBABE ULINGONI MAY 24
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsbpUcBcaZQ/U3UgvH6tpjI/AAAAAAAFh94/f1PdWG0CM8k/s1600/unnamed+(87).jpg)
11 years ago
Michuzi09 Feb
10 years ago
MichuziRefarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion afunga ndoa
Ally Bakari Champion akiozeshwa
10 years ago
Vijimambo10 Mar
KOCHA SUPER D AMZAWADIA BONDIA 'KING CLASS MAWE' VIFAA VYA MASUMBWI